Pre GE2025 Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaomtuma , wanamsukumiza kwa mbowe😀😀
CCM walitoa hela ndefu kumnunua huyu Msigwa wakiamini kuwa angekuwa na taarifa na vilelezo vya kuimaliza Chadema na Mbowe, wamegundua kuwa hana jipya zaidi ya habari zakuokoteza tu sasa wanamsakizia azidi kumsakama Mbowe ili ashitakiwe aziteme zile hela walizomlipa kwani mambo yakichachamaa watajitenga naye ahangaike mwenyewe na hiyo kesi.
 

ignored
 
Na hata huu mpango wa kulipa hiyo fedha mbowe anayoidai , umeandaliwa Na ccm ili kummaliza msigwa
 

Kesi ya nyani kula mahindi kwa mara nyingine imetua kwa hakimu ngedere.

Kwani hata ile ya COVID-19 hakimu ngedere aliamua je?

Nani ajuaye ya Awazi imefikia wapi?
 
political statements and accusations has no impact lawfully politically speaking 🐒

this is completely wastage of time and drawing nonsense tensions 🐒
 
Ila nahisi hawa mawakili wamemtafta Mbowe na kumshauri afungue kesi hiyo... hapa ni mkakati wa mawakili kujibrand na kujitangaza kibiashara.

Ila poa iwe fundisho kwa Peter Msigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…