Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Anagombea tena [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kura zipigwe.. amuachiaje au?Mbowe amuachie lisu
Ukiona adui yako anakutakia mema,jiangalie mara mbilimbili wapi umekosea!!Asije akajiroga Kumuachia Lissu Chama .kwa hakika akifanya hivyo atabubujikwa na machozi ya Majuto Maisha yake yote yaliyobakia hapa Duniani.
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake, Freeman Mbowe, ataongea na Wahariri wa Vyombo vya habari (si waandishi wa kawaida)
Mwamba ataongea na Wahariri hao nyumbani kwake Mikocheni, Dar es salaam.
Mimi Mtumishi wenu nitakuwepo ili kuwapa Taarifa ya kila kitakachozungumzwa.
Usiondoke JF
Mi nipo kinyume! Atakuwa "kama" ameiogopa TIMU TUNDU!Kama hatogombea atakuwa ameshinda kuliko akigombea.