Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbowe anafanya kazi sana, kiafya hii si nzuri, hapumziki kabisa!Safi sana Mwamba, wacha tujumuike pamoja kumuaga mzee wetu - mwanamageuzi nguli nchini - RIP Prof. Baregu.
Huyu Jembe,Mungu atamlinda.Mbowe anafanya kazi sana, kiafya hii si nzuri, hapumziki kabisa!
Kwani Shaka Hamdu naye yupo ?Uliyemuona wewe ni Mbowe tu kwenye ibada
ni kweli , lakini ikabidi awahishwe kwa chopa ili awepo msibani , usisahau pia kwamba Mbowe ni bilioneaSi alikuwa mtama
Tena bilionea halalini kweli , lakini ikabidi awahishwe kwa chopa ili awepo msibani , usisahau pia kwamba Mbowe ni bilionea
Sasa hapo KKKT wamempelekaje ?Rest in peace Prof. Nakumbuka Prof hakuwa na dini
Haaa kingunge mwishoni alitambua Romani,hawa watakuwa nduguRest in peace Prof. Nakumbuka Prof hakuwa na dini