Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukamanda huo MkuuMbowe anafanya kazi sana, kiafya hii si nzuri, hapumziki kabisa!
Chadema kwa Mbwembe kama serikali ya awamu ya 6 kwa hayo mabarakoa utadhani madoctor wa chumba cha upasuaji😂😂😂
AMINAHuyu Jembe,Mungu atamlinda.
Wacha kazi iendelee
Tafadhari ni muhimuChadema kwa Mbwembe kama serikali ya awamu ya 6 kwa hayo mabarakoa utadhani madoctor wa chumba cha upasuaji[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umepita masokoni,shuleni,minadani au toka umetoka asubuhi mpk unarudi nyumbani umekutana na waliovaa barakoa wangapi? Unajua kama kitu kinafanyika serious hatua zinachukuliwa kwa pamoja lakini kikundi kimoja kinapojifanya kuchukua hatua na kuacha kundi kubwa likiamua lenyewe inakuwa ni kichekesho tu.
Serikali hii kama ipo kulinda watu wake kweli bhasi Mungu ataona dhamila zao mioyoni mwao lakini kama wako na akili za kupata mikopo na fedha za Covid relief funds bhasi rahana ziwe juu yao
huyo ni kijana wa 1961 bado mdogo ukisema hivyo na Lowasa utasemajeMbowe anafanya kazi sana, kiafya hii si nzuri, hapumziki kabisa!
MUNGU ATAMLINDA.Mbowe anafanya kazi sana, kiafya hii si nzuri, hapumziki kabisa!
Ni Kweli na tena hela alikuta toka azaliwe baba yake mzee Haikaeli ndio walikua wanamsaidia Nyerere Nauli kwenda UNO ndio maana Nyerere na Ujamaa wake alikuwa hamsumbui mzee Haikaeli.Watu wanamchukuli Mbowe ki simple sana Siasa ni kitu tu iko damuni lakini sio mtu wa kufikiria hela ya mboga.Hata yule mpumbafu aliyeng'oa mimea yake alikuwa anamkuna tu tembo mgongoni hawezi sikia maana ngozi ngumuni kweli , lakini ikabidi awahishwe kwa chopa ili awepo msibani , usisahau pia kwamba Mbowe ni bilionea
Hapo KKT alipelekwa kutambika ?Rest in peace Prof. Nakumbuka Prof hakuwa na dini
Rahana ndiyo nini mkuu?Mkuu umepita masokoni,shuleni,minadani au toka umetoka asubuhi mpk unarudi nyumbani umekutana na waliovaa barakoa wangapi? Unajua kama kitu kinafanyika serious hatua zinachukuliwa kwa pamoja lakini kikundi kimoja kinapojifanya kuchukua hatua na kuacha kundi kubwa likiamua lenyewe inakuwa ni kichekesho tu.
Serikali hii kama ipo kulinda watu wake kweli bhasi Mungu ataona dhamila zao mioyoni mwao lakini kama wako na akili za kupata mikopo na fedha za Covid relief funds bhasi rahana ziwe juu yao