Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ohoooooo!!!Yale Nzagamba yazwa mapempembe lumagaa shimba lumaga shimbaX2
Huku Arusha ni kunywa bia kwa kwenda mbele Jambazi muda huu debe linamhusu Kisongo....
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Wakati huohuo Kuna mtu leo kasimikwa Uhujumu uchumi na makazi yake yamehamishiwa Kisongo,Mungu mkuu sana
Huyu alikwisha omba radhi dunia siku chache baada ya MazishiHao wazee wana uraia watanzania?
Kheri James sindano pyuuuuuuuuu
Ng'waga na warwa tubine chiza bhakosha na bhanike.Olesabaya alenyela debe Mkisongo[emoji12]Yale Nzagamba yazwa mapempembe lumagaa shimba lumaga shimbaX2
Huku Arusha ni kunywa bia kwa kwenda mbele Jambazi muda huu debe linamhusu Kisongo....
Karibu sanaInapendeza, ahsante kwa taarifa...
Una akili duni sana !Naona wachaga wa kanda ya ziwa wakimsimika Big Mangi na mwenyekiti wa chama cha kutetea haki zao
Hongera mtemi Mbowe tunakusikiliza tupe mwelekeo.Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
Never and Never AgainHo
Hongera mtemi Mbowe tunakusikiliza tupe mwelekeo.
Upuuzi mtupu, mchaga wa machame nkuu kati leo awe mtemi?. Mmekwenda kujipendekeza kwa kina Sukuma gang kuomba uungwaji mkono. Punguani tu ndio mnaweza kuwashika masikio.Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
njia fupi ni kujinyonga tuUpuuzi mtupu, mchaga wa machame nkuu kati leo awe mtemi?. Mmekwenda kujipendekeza kwa kina Sukuma gang kuomba uungwaji mkono. Punguani tu ndio mnaweza kuwashika masikio.