ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Inavyoonekana kwa karibu wiki na nusu hivi haupati usingizi kabisa.Naona wachaga wa kanda ya ziwa wakimsimika Big Mangi na mwenyekiti wa chama cha kutetea haki zao
Ndugu ukiendelea hivi utajikuta uko Mirembe bure kwa mambo yalokuzidi kasi.
Mwone daktari haraka.