Freeman Mbowe asimikwa kuwa Mtemi Isike huko Tabora

Freeman Mbowe asimikwa kuwa Mtemi Isike huko Tabora

Naona wachaga wa kanda ya ziwa wakimsimika Big Mangi na mwenyekiti wa chama cha kutetea haki zao
Inavyoonekana kwa karibu wiki na nusu hivi haupati usingizi kabisa.
Ndugu ukiendelea hivi utajikuta uko Mirembe bure kwa mambo yalokuzidi kasi.
Mwone daktari haraka.
 
Inavyoonekana kwa karibu wiki na nusu hivi haupati usingizi kabisa.
Ndugu ukiendelea hivi utajikuta uko Mirembe bure kwa mambo yalokuzidi kasi.
Mwone daktari haraka.
😆😆😆😆
 
Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.

Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi

View attachment 1808146View attachment 1808147
Hili tapeli katiili jizi na jambazi sugu joka la malyenfge
 
mchaga na Wanyamwezi wapi na wapi, hao ni wachaga wenzake wanafanya maigizo tu hapo
Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.
 
Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.
Sasa Lipumba angewezaje kuing'oa ccm ?
 
Sasa Lipumba angewezaje kuing'oa ccm ?
mwaka 2010 nilikuwa CHADEMA damudamu, mgombea wetu wakati huo alikuwa Dr. Slaa na nyota yake ilikuwa inang'ara sana wakati huo. Fanya mrejeo wa posts zangu hapa JF mwaka 2008 hadi 2012.
 
Anatumia ruzuku kutengeneza muvi,nyie makamanda najua mna hali ngumu
Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.

Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi

View attachment 1808146View attachment 1808147
 
Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.
Kwani ule ulikuwa uchaguzi?
 
Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.

Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi

View attachment 1808146View attachment 1808147
Huu ndio mwanzo wa hofu yao
 
Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.

Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi

View attachment 1808146View attachment 1808147
Mbowe anapigania tumbo lake lishibe na sku mbowe akikaaa kimya CHADEMA CHALI
 
Back
Top Bottom