ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Inavyoonekana kwa karibu wiki na nusu hivi haupati usingizi kabisa.Naona wachaga wa kanda ya ziwa wakimsimika Big Mangi na mwenyekiti wa chama cha kutetea haki zao
😆😆😆😆Inavyoonekana kwa karibu wiki na nusu hivi haupati usingizi kabisa.
Ndugu ukiendelea hivi utajikuta uko Mirembe bure kwa mambo yalokuzidi kasi.
Mwone daktari haraka.
Hili tapeli katiili jizi na jambazi sugu joka la malyenfgeHii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
Wahalifu wako selo kisongoHili tapeli katiili jizi na jambazi sugu joka la malyenfge
Yule dogo nyota yake haizimiki na ndiye hbr ya Mjini ameisimamisha nchiWahalifu wako selo kisongo
Mwenzio kagoma kuoga kisongo wewe umamsimanga hapa jfYule dogo nyota yake haizimiki na ndiye hbr ya Mjini ameisimamisha nchi
Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.mchaga na Wanyamwezi wapi na wapi, hao ni wachaga wenzake wanafanya maigizo tu hapo
Sasa Lipumba angewezaje kuing'oa ccm ?Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.
mwaka 2010 nilikuwa CHADEMA damudamu, mgombea wetu wakati huo alikuwa Dr. Slaa na nyota yake ilikuwa inang'ara sana wakati huo. Fanya mrejeo wa posts zangu hapa JF mwaka 2008 hadi 2012.Sasa Lipumba angewezaje kuing'oa ccm ?
Hii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
Ng'waga na warwa tubine chiza bhakosha na bhanike.Olesabaya alenyela debe Mkisongo[emoji12]
Kwani ule ulikuwa uchaguzi?Kwetu ni Tabora, na mwaka 2010 nilijikita sana kwenye kampeini za uchaguzi kuin'goa CCM nikaambulia sifuri. Kwa Tabora kusema wanamsimika Mbowe kuwa Chifu wa Unyanyembe ni maigizo matupu.
Chadema haipokei ruzukuAnatumia ruzuku kutengeneza muvi,nyie makamanda najua mna hali ngumu
😃😂 sijui mwamba kawapa nini? Kwel nimeamin mapenz upofu.Ho
Hongera mtemi Mbowe tunakusikiliza tupe mwelekeo.
Huu ndio mwanzo wa hofu yaoHii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
Mbowe anapigania tumbo lake lishibe na sku mbowe akikaaa kimya CHADEMA CHALIHii ni baada ya Wazee wa Tabora kumfananisha na Wapigania Uhuru wa enzi zile za kumng'oa Mkoloni , jambo hili lina maana kubwa sana kwa mwanasiasa yeyote.
Mbowe yuko Mkoani Tabora kama sehemu ya Ziara ya Kanda ya Magharibi katika Mkakati wa Chadema wa Operesheni haki , ambayo inapigania Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi
View attachment 1808146View attachment 1808147
Nani alikudanganya kwamba Mbowe ana njaa ?Mbowe anapigania tumbo lake lishibe na sku mbowe akikaaa kimya CHADEMA CHALI