Freeman Mbowe atamshinda Tundu Antipass Lissu kwa sababu zifuatazo..!

Freeman Mbowe atamshinda Tundu Antipass Lissu kwa sababu zifuatazo..!

Burure

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
42
Reaction score
96
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu

1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana

FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti) itasababisha wao kushindwa kupata mafungu yao ya kila mara kuanzia miaka ya nyuma hadi sasa
Kwahiyo kupitia hayo makundi FAM atawekeza nguvu nyingi kwa viongozi wa kada mbalimbali na hivyo kupelekea kushinda kwa asilimia kubwa....

Lakini kundi la tatu ambao ni vijana wanahitaji siasa zenye ukali maana wao wana nguvu na hawahitaji Pesa yoyote zaidi ya misimamo mikali ambayo TAL anaonekana anaiweza

Hivyo basi kutokana na TAL ana nguvu kutoka kwa kundi moja Mimi naona hatoweza kumshinda FAM
Pia,kama tunavyowajua waTz wengi wao wanapendwa kuhonga na kujipatia hela kipindi cha uchaguzi...na sioni kama TAL atatoa hata mia kwa ajili ya kupigiwa kura lakini ni tofauti na FAM ana uwezo wa kutoa na ana uhakika wa kuirudisha pindi tu atakapo endelea kuwa Mwenyekiti wa CDM....

Tutegemee chama kikishuka mvuto endapo FAM akishinda na kitatumia nguvu sana kuwashawishi watu wakikubali kwenye jamii....

Hii ni Fursa kwa ACT WAZALENDO kutumia nafasi hii kuingia kwenye mioyo ya waTZ maana huu ni Mwisho wa CDM....

Ukiona ADUI wanakusifia ujue kuna sehemu umekosea... kwahiyo FAM kuna sehemu amekosea maana NAPE na KIGWANGALA wanamsifia na kumtaka aendelee kuwa Mwenyekiti.
 
FAM ni kingozi mwenye busara na anakubalika na makundi yote.Ni dhahiri anashinda kwa asilimia zaidi ya 90%.
Lissu ajiandae tu kisaikologia. Na ni wazi heshima yake itashuka sana !
 
Sababu pekee ya kumpa Mbowe uenyekiti ni kwamba, CHADEMA ni Mbowe's private property. Ni mali yake ya urithi.
 
FAM ni kingozi mwenye busara na anakubalika na makundi yote.Ni dhahiri anashinda kwa asilimia zaidi ya 90%.
Lissu ajiandae tu kisaikologia. Na ni wazi heshima yake itashuka sana !
To me issue si kushinda, issue ni je anayoyafanya Lisu ni sawa kwa chama chake?
 
FAM ni kingozi mwenye busara na anakubalika na makundi yote.Ni dhahiri anashinda kwa asilimia zaidi ya 90%.
Lissu ajiandae tu kisaikologia. Na ni wazi heshima yake itashuka sana !
Hana busara, angekuwa na busara asingeendelea kung'ang'ania madaraka wakati wafuasi wameshamkinai.
 
FAM ni kingozi mwenye busara na anakubalika na makundi yote.Ni dhahiri anashinda kwa asilimia zaidi ya 90%.
Lissu ajiandae tu kisaikologia. Na ni wazi heshima yake itashuka sana !
Chadema sio mapopoma kama nyie wafuas wa mapumbavu ambayo mwenyekit wenu hachaguliwi Bali form Moja hutolewa.
 
CHADEMA KUNA VYEO? WANANUFAIKA VIPI? GIVE SOME FEW EXAMPLES
Kwamba hujui kuwa kuna Ruzuku, michango ya wanachama na vyanzo mbalimbali kama vile misaada kutoka kwa vyama rafiki!?
 
Chama cha Demokrasia hakuna Demokrasia wala Maendeleo yoyote, chagua mtu msichague chama 2025
 
Back
Top Bottom