Freeman Mbowe atamshinda Tundu Antipass Lissu kwa sababu zifuatazo..!

Freeman Mbowe atamshinda Tundu Antipass Lissu kwa sababu zifuatazo..!

Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu

1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana

FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti) itasababisha wao kushindwa kupata mafungu yao ya kila mara kuanzia miaka ya nyuma hadi sasa
Kwahiyo kupitia hayo makundi FAM atawekeza nguvu nyingi kwa viongozi wa kada mbalimbali na hivyo kupelekea kushinda kwa asilimia kubwa....

Lakini kundi la tatu ambao ni vijana wanahitaji siasa zenye ukali maana wao wana nguvu na hawahitaji Pesa yoyote zaidi ya misimamo mikali ambayo TAL anaonekana anaiweza

Hivyo basi kutokana na TAL ana nguvu kutoka kwa kundi moja Mimi naona hatoweza kumshinda FAM
Pia,kama tunavyowajua waTz wengi wao wanapendwa kuhonga na kujipatia hela kipindi cha uchaguzi...na sioni kama TAL atatoa hata mia kwa ajili ya kupigiwa kura lakini ni tofauti na FAM ana uwezo wa kutoa na ana uhakika wa kuirudisha pindi tu atakapo endelea kuwa Mwenyekiti wa CDM....

Tutegemee chama kikishuka mvuto endapo FAM akishinda na kitatumia nguvu sana kuwashawishi watu wakikubali kwenye jamii....

Hii ni Fursa kwa ACT WAZALENDO kutumia nafasi hii kuingia kwenye mioyo ya waTZ maana huu ni Mwisho wa CDM....

Ukiona ADUI wanakusifia ujue kuna sehemu umekosea... kwahiyo FAM kuna sehemu amekosea maana NAPE na KIGWANGALA wanamsifia na kumtaka aendelee kuwa Mwenyekiti.
hao unaowazungumzia wote hawajaonekana nyumbani kwa Mbowe wakimtaka agombee uenyekiti wala kurejesha form, walienda chawa flani tu ivi ata si wapiga kura? nadhan mbowe ataangukia pua, uko mikoani kote wamesema kwa Mbowe imetosha wampishe lissu alete mambo mapya kukiokoa chama
 
Kwani mbowe kukaaa madarakani miaka 20 Sawa?
Yes, ni sawa, amekaa kwa ridhaaya kura za wahusika. Is there any wrong?
Mimi sina ushabiki...Lisu alikuwa mwanasiana nnayempenda sana untill recently alipokengeuka. Sasa chadema ni vipande viwili, wenye akili za kawaida wanaliona hilo! CHANZO NI LISU UCHU WA MADARAKA
 
Yes, ni sawa, amekaa kwa ridhaaya kura za wahusika. Is there any wrong?
Mimi sina ushabiki...Lisu alikuwa mwanasiana nnayempenda sana untill recently alipokengeuka. Sasa chadema ni vipande viwili, wenye akili za kawaida wanaliona hilo! CHANZO NI LISU UCHU WA MADARAKA
Kwa maoni yangu Mimi naona chanzo ni mbowe kuifanya chadema kama chumba chake cha kulala
 
Chama hivi hakiwezi kupoteza umaarufu eti Mbowe ameshinda uenyekiti, sasa hivi na miaka 20 iliyopita alikuwa m/kiti na CDM ndio imekuwa sana.
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu

1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana

FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti) itasababisha wao kushindwa kupata mafungu yao ya kila mara kuanzia miaka ya nyuma hadi sasa
Kwahiyo kupitia hayo makundi FAM atawekeza nguvu nyingi kwa viongozi wa kada mbalimbali na hivyo kupelekea kushinda kwa asilimia kubwa....

Lakini kundi la tatu ambao ni vijana wanahitaji siasa zenye ukali maana wao wana nguvu na hawahitaji Pesa yoyote zaidi ya misimamo mikali ambayo TAL anaonekana anaiweza

Hivyo basi kutokana na TAL ana nguvu kutoka kwa kundi moja Mimi naona hatoweza kumshinda FAM
Pia,kama tunavyowajua waTz wengi wao wanapendwa kuhonga na kujipatia hela kipindi cha uchaguzi...na sioni kama TAL atatoa hata mia kwa ajili ya kupigiwa kura lakini ni tofauti na FAM ana uwezo wa kutoa na ana uhakika wa kuirudisha pindi tu atakapo endelea kuwa Mwenyekiti wa CDM....

Tutegemee chama kikishuka mvuto endapo FAM akishinda na kitatumia nguvu sana kuwashawishi watu wakikubali kwenye jamii....

Hii ni Fursa kwa ACT WAZALENDO kutumia nafasi hii kuingia kwenye mioyo ya waTZ maana huu ni Mwisho wa CDM....

Ukiona ADUI wanakusifia ujue kuna sehemu umekosea... kwahiyo FAM kuna sehemu amekosea maana NAPE na KIGWANGALA wanamsifia na kumtaka aendelee kuwa Mwenyekiti.
 
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu

1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana

FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti) itasababisha wao kushindwa kupata mafungu yao ya kila mara kuanzia miaka ya nyuma hadi sasa
Kwahiyo kupitia hayo makundi FAM atawekeza nguvu nyingi kwa viongozi wa kada mbalimbali na hivyo kupelekea kushinda kwa asilimia kubwa....

Lakini kundi la tatu ambao ni vijana wanahitaji siasa zenye ukali maana wao wana nguvu na hawahitaji Pesa yoyote zaidi ya misimamo mikali ambayo TAL anaonekana anaiweza

Hivyo basi kutokana na TAL ana nguvu kutoka kwa kundi moja Mimi naona hatoweza kumshinda FAM
Pia,kama tunavyowajua waTz wengi wao wanapendwa kuhonga na kujipatia hela kipindi cha uchaguzi...na sioni kama TAL atatoa hata mia kwa ajili ya kupigiwa kura lakini ni tofauti na FAM ana uwezo wa kutoa na ana uhakika wa kuirudisha pindi tu atakapo endelea kuwa Mwenyekiti wa CDM....

Tutegemee chama kikishuka mvuto endapo FAM akishinda na kitatumia nguvu sana kuwashawishi watu wakikubali kwenye jamii....

Hii ni Fursa kwa ACT WAZALENDO kutumia nafasi hii kuingia kwenye mioyo ya waTZ maana huu ni Mwisho wa CDM....

Ukiona ADUI wanakusifia ujue kuna sehemu umekosea... kwahiyo FAM kuna sehemu amekosea maana NAPE na KIGWANGALA wanamsifia na kumtaka aendelee kuwa Mwenyekiti.
Bandiko halina utafiti wowote. Ungetakiwa useme:
1. Katiba yao inasemaje kuhusu namna ya kuchagua viongozi wa juu;
2. Idadi ya wajumbe wenye haki ya kupiga kura kwa kila kundi;
3. Uwezekano (scenario) za ushindi wa hao wagombea wawili;
4. Mwisho uhitimishe kuendana na uchambuzi huu ...
 
Hana busara, angekuwa na busara asingeendelea kung'ang'ania madaraka wakati wafuasi wameshamkinai.
CCM wametaka awasaidie ili Lissu asiingie kama mwenyekiti, ulitaka awakatalie ilhali ana biashara zake na hataki yamkute ya kipindi kile cha JPM?
 
Ninawagawa wapiga kura katika makundi makuu matatu

1. Viongozi waandamizi
2. Baraza la wanawake
3. Baraza la vijana

FAM anatarajiwa kushinda kwa kutumia kundi la kwanza na la pili maana ndio wanufaika wakubwa wa Mwenyekiti FAM na endapo mabadiliko ya uongozi wa juu utabadilika (Mwenyekiti) itasababisha wao kushindwa kupata mafungu yao ya kila mara kuanzia miaka ya nyuma hadi sasa
Kwahiyo kupitia hayo makundi FAM atawekeza nguvu nyingi kwa viongozi wa kada mbalimbali na hivyo kupelekea kushinda kwa asilimia kubwa....

Lakini kundi la tatu ambao ni vijana wanahitaji siasa zenye ukali maana wao wana nguvu na hawahitaji Pesa yoyote zaidi ya misimamo mikali ambayo TAL anaonekana anaiweza

Hivyo basi kutokana na TAL ana nguvu kutoka kwa kundi moja Mimi naona hatoweza kumshinda FAM
Pia,kama tunavyowajua waTz wengi wao wanapendwa kuhonga na kujipatia hela kipindi cha uchaguzi...na sioni kama TAL atatoa hata mia kwa ajili ya kupigiwa kura lakini ni tofauti na FAM ana uwezo wa kutoa na ana uhakika wa kuirudisha pindi tu atakapo endelea kuwa Mwenyekiti wa CDM....

Tutegemee chama kikishuka mvuto endapo FAM akishinda na kitatumia nguvu sana kuwashawishi watu wakikubali kwenye jamii....

Hii ni Fursa kwa ACT WAZALENDO kutumia nafasi hii kuingia kwenye mioyo ya waTZ maana huu ni Mwisho wa CDM....

Ukiona ADUI wanakusifia ujue kuna sehemu umekosea... kwahiyo FAM kuna sehemu amekosea maana NAPE na KIGWANGALA wanamsifia na kumtaka aendelee kuwa Mwenyekiti.
Mbowe ndio yupo on the track ya kuiua na kuikuza chadema.
All options is on his table.
 
Back
Top Bottom