Freeman Mbowe atimiza siku 90 mahabusu

Freeman Mbowe atimiza siku 90 mahabusu

Aibu kubwa wakishindwa kuthibitisha, watu husema gerezani siku moja yahesabika 2, hivyo 90*2; 180 siku miezi Sita!

Huko wapo wengi mahabusu, wathibitishe kwa wote
 
Mwamba akifikisha siku mia tufanye matembezi ya mshikamano, ili kumtumia salamu 'Mama' kuwa Katiba mpya iko palepale.
 
Sabaya amefungwa miaka 30 kwa kuhisiwa kuiba simu ya Tecno na laki 3
Mkuu uko mbali mno na mambo ya kisheria.Sabaya kahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha kwa mujibu wa sheria.Hata kama angempora mtu elfu moja ila kama silaha ilitumika kwa namna yoyote ile wakati wa tukio basi adhabu yake iko wazi.

Pia Sabaya mwenyewe alikiri mashitaka yake tangu akitoa ushahidi wake hadi siku anahukumiwa kwamba alifanya yote hayo kwasababu alikuwa anafuata maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi.

Mbona haufatilii vitu ambavyo vipo wazi kabisa.
 
View attachment 1978393

Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe , na baadaye kutengenezewa Mashitaka ya kutunga ya Ugaidi .

Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na Kingai si jambo jepesi , Bali ukweli uko wazi kwamba KATIKA DUNIA HII HAKUNA MAHALI POPOTE PALE AMBAPO SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , Ikumbukwe pia kwamba KILA UBAYA UTALIPWA .
Pole Kamanda Mbowe. "Don't give up. Mandela was locked up for 27 years. We are showering prayers on you".
 
Hamza alifadhili ugaidi wapi?Maana Mbowe anadaiwa kufadhili vitendo vya ugaidi kwa gharama ya shilingi laki sita.
FB_IMG_16289275513436052.jpg
 
Sabaya chali, jiwe chali,nani anafata safarii hii
 
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba Mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe, na baadaye kutengenezewa mashitaka ya kutunga ya ugaidi.

Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na kingai si jambo jepesi, bali ukweli uko wazi kwamba katika dunia hii hakuna mahali popote pale ambapo shetani amewahi kumshinda mungu, ikumbukwe pia kwamba kila ubaya utalipwa.

View attachment 1978393
Na bado kifungo kinamgoja. Azoee tu
 
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba Mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe, na baadaye kutengenezewa mashitaka ya kutunga ya ugaidi.

Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na kingai si jambo jepesi, bali ukweli uko wazi kwamba katika dunia hii hakuna mahali popote pale ambapo shetani amewahi kumshinda mungu, ikumbukwe pia kwamba kila ubaya utalipwa.

View attachment 1978393

Katika dunia Hii kama kweli unaijua historia. Shetani anapeta sana na watu Wema wengi wanakufa bila kupata raha za dunia. Kwa wakristo huzungumzia ubebaji wa msalaba. Ushindi wa Mungu sio wa mawazo yako. Shetani yupo na waliofanikiwa sana kidunia wamebebwa naye. Ulaya Sasa hawataki kabisa kusikia habari za Mungu. So stop your nonsense. Haki ya MUNGU anaijua yeye zaidi. Wewe umeshajaji na kuhukumu. Are you God? Je wewe unamjua zaidi Mbowe kuliko Mungu anavyomjua. Kila mwanadamu Ana makosa yake. Tusimwingize Mungu Kati. Magugu na mazao huachiwa kukua mpaka siku ya mwisho.

Kama unamjua kweli Mungu. Sali mwombee Mheshimiwa Mbowe. Haki itendeke. Just remember. Ukweli na haki ya kimahakama sio absolute haki na Ukweli. Mazingira yashawafunga wengi sana wasiohusika. Lakini ndo sheria ilivyo. Atakayevumilia mpaka mwisho ndo atakayeokoka. Neno linasema.
 
Siku 90 ni shujaa??? Ebu tuache utani basi😁😁 kuna watu wamekaa gerezani siku 2000+ huko na wamekaa kimya tu😂😂
 
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba Mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe, na baadaye kutengenezewa mashitaka ya kutunga ya ugaidi.

Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na kingai si jambo jepesi, bali ukweli uko wazi kwamba katika dunia hii hakuna mahali popote pale ambapo shetani amewahi kumshinda mungu, ikumbukwe pia kwamba kila ubaya utalipwa.

View attachment 1978393
Watashindana na mh mbowe lkn hawatashinda soon atakuwa free
 
Pole sana Mbowe, May almighty God intervene in this politically motivated case, This is very common in Africa especially in countries where democracy is very dwarf, even Hichilema Hakainde HH (Zambian President)went through what u are facing now, but our God is good all the time, you will come out of that furnace strong and stable, This is the cost of democracy in underdeveloped countries in Africa,
 
The guy alidhani hatuwezi kuishi bila yeye, but hali ni tofauti sasa. Watu tunadunda tu mtaani.,
All in all jamaa ana dharau sana. Kwa kwamba baada ga kifo cha alidhani anaweza fanya chochote nchi hii hadi kumpangia rais mambo ya kufanya.
 
Katika dunia Hii kama kweli unaijua historia. Shetani anapeta sana na watu Wema wengi wanakufa bila kupata raha za dunia. Kwa wakristo huzungumzia ubebaji wa msalaba. Ushindi wa Mungu sio wa mawazo yako. Shetani yupo na waliofanikiwa sana kidunia wamebebwa naye. Ulaya Sasa hawataki kabisa kusikia habari za Mungu. So stop your nonsense. Haki ya MUNGU anaijua yeye zaidi. Wewe umeshajaji na kuhukumu. Are you God? Je wewe unamjua zaidi Mbowe kuliko Mungu anavyomjua. Kila mwanadamu Ana makosa yake. Tusimwingize Mungu Kati. Magugu na mazao huachiwa kukua mpaka siku ya mwisho.

Kama unamjua kweli Mungu. Sali mwombee Mheshimiwa Mbowe. Haki itendeke. Just remember. Ukweli na haki ya kimahakama sio absolute haki na Ukweli. Mazingira yashawafunga wengi sana wasiohusika. Lakini ndo sheria ilivyo. Atakayevumilia mpaka mwisho ndo atakayeokoka. Neno linasema.
Povu linaruhusiwa
 
Back
Top Bottom