Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Utajua hujui muda si mrefuThe guy alidhani hatuwezi kuishi bila yeye, but hali ni tofauti sasa. Watu tunadunda tu mtaani.,
All in all jamaa ana dharau sana. Kwa kwamba baada ga kifo cha alidhani anaweza fanya chochote nchi hii hadi kumpangia rais mambo ya kufanya.
hata mbowe ndo basi tenaMkuu pole kwa kifungo cha sabaya , ndio basi tena , zile bia mlizopora zitawatokea puani , tumeanza kusaka mmoja mmoja , kwenye orodha umo
Unaongea kitu gani mkuu?uliwahi kusikia ugaidi umefadhiliwa kwa dola 260.....inaonekana ulivyomaliza chekechea ukaona umehitimu chuo kikuu
Ana ushujaa gani sasaShujaa Mbowe Mungu akupe nguvu na subira, hutakufa bali utaishi milele mioyoni mwa watanzania wenye nia njema!
Hamza alijifadhili mwenyeweHamza alifadhili ugaidi wapi?Maana Mbowe anadaiwa kufadhili vitendo vya ugaidi kwa gharama ya shilingi laki sita.
Acha kumfananisha Mandela na vitu vya kipuuzi Mandela hakudhamini ugaidiPole Kamanda Mbowe. "Don't give up. Mandela was locked up for 27 years. We are showering prayers on you".
Kumbe umeona tofauti iliyopo kati ya Hamza na Mh Mbowe.Mheshimiwa Mbowe anashtakiwa kwa kufadhili vitendo vya kigaidi kwa gharama ya shilingi laki 6 kwa mujibu wa charge sheet.Hamza alijifadhili mwenyewe
Hiyo ilikuwa nauli ya kwenda kufanya kazi halafu wale ni makomando waliofukuzwa kazi jwKumbe umeona tofauti iliyopo kati ya Hamza na Mh Mbowe.Mheshimiwa Mbowe anashtakiwa kwa kufadhili vitendo vya kigaidi kwa gharama ya shilingi laki 6 kwa mujibu wa charge sheet.
Yaani makomandoo wa JW wanafadhiliwa kwa gharama ya laki sita kuchoma vituo vya mafuta.Hata wahuni wa mtaani tu hawawezi kukubali kufadhiliwa kwa kiasi cha laki 6.
Mungu Ibariki CHADEMALeo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba Mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe, na baadaye kutengenezewa mashitaka ya kutunga ya ugaidi.
Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na kingai si jambo jepesi, bali ukweli uko wazi kwamba katika dunia hii hakuna mahali popote pale ambapo shetani amewahi kumshinda mungu, ikumbukwe pia kwamba kila ubaya utalipwa.
Kwahiyo kwenye hati ya mashitaka imeandikwa ilikuwa nauli?Hujui hati ya mashitaka ndo inabeba sura ya kesi nzima?Hiyo ilikuwa nauli ya kwenda kufanya kazi halafu wale ni makomando waliofukuzwa kazi jw
kamuulize mwalimu wako tofauti ya ujambazi na ugaidi....Unaongea kitu gani mkuu?
Mimi nikikuita kwa lengo la kupanga mauaji na nikakulipia lodge ya 10,000 na chakula cha 3000 pamoja na nauli 5000 na ela ya usumbufu 20,000 jumla 38,000 tayari nakua na hatia ya kufadhiri mpango wa mauaji.
Usikimbie tu jfMvua ya miaka inamsubiri
Sawa, si kesi inaendelea bwana? Msije mkawa mnatukana humu kama kawaida yenu akishatundikwa mbua za kutoshaUmedanganywa kizembe sana
Shetani hajawahi kumshinda MunguSawa, si kesi inaendelea bwana? Msije mkawa mnatukana humu kama kawaida yenu akishatundikwa mbua za kutosha
Mwamakula kapigwa chini na PGO😁😁😁😁Shetani hajawahi kumshinda Mungu