Pre GE2025 Freeman Mbowe atoa tamko. Alaani kukamatwa kwa viongozi na vijana wa CHADEMA

Pre GE2025 Freeman Mbowe atoa tamko. Alaani kukamatwa kwa viongozi na vijana wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
"Tunalaani vikali Jeshi la Polisi kukamata Viongozi wetu Wakuu wa Chama ikiwemo Viongozi wa Baraza la Vijana wa Chadema, BAVICHA.

Aidha, tunalaani mkakati wa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa kushirikiana na Polisi kuzuia kongamano la Bavicha katika kuazimisha siku ya vijana duniani hapo kesho j'tatu 12 Agosti.

Soma Pia:
Tunadai kuachiwa haraka na bila masharti Viongozi, Wanachama na wapenzi wetu wote waliokamatwa maeneo mbalimbali ya nchi.

Chama kinafuafilia kwa makini yanayoendelea na kitaendelea kuuhabarisha Umma kila linalojiri hatua kwa hatua."

1000030752.jpg

 
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe kupitia ukurasa wake wa X amelaani kitendo cha Polisi mkoani mbeya kumkamata Tundu Lissu na wenzake pamoja na wanachama wengine wa chadema. Aidha ameeleza kua analaani vikali mkakati wa msajili wa vyama vya siasa kwa kushirikiana na polisi kuzuia kongamano la baraza la vijana wa chadema(BAVICHA)
Screenshot 2024-08-12 085935.png
katika kuazimisha siku ya vijana duniani leo 12 August. Jeshi la polisi mkoani MbeyBa limewakamata viongozi hao na baadhi ya wafuasi waliokua wamekusanyika yalipo makao makuu ya chama hicho kanda ya Nyasa muda mfupi mara baada ya kumaliza kikao cha ndani na viongozi waandamizi wa BAVICHA na waandishi wa habari
 
Maadhimisho ya siku ya vijana ilikuwa ni fursa kwa wana mbeya kwasababu ya ugeni wa watu kutoka sehemu mbalimbali. Kuzuiwa kufanyika kwa maadhimisho hayo inadhihirisha kwamba serikali inayoongozwa na CCM haiwapendi wana mbeya.



Matukio haya ya kukamata yanaongeza chuki kwa wananchi ni vyema Police kuimarisha ulinzi kuliko kamata kamata za hovyo wanazotumwa na akina homera.
 
"Tunalaani vikali Jeshi la Polisi kukamata Viongozi wetu Wakuu wa Chama ikiwemo Viongozi wa Baraza la Vijana wa Chadema, BAVICHA.

Aidha, tunalaani mkakati wa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa kushirikiana na Polisi kuzuia kongamano la Bavicha katika kuazimisha siku ya vijana duniani hapo kesho j'tatu 12 Agosti.

Soma Pia:
Tunadai kuachiwa haraka na bila masharti Viongozi, Wanachama na wapenzi wetu wote waliokamatwa maeneo mbalimbali ya nchi.

Chama kinafuafilia kwa makini yanayoendelea na kitaendelea kuuhabarisha Umma kila linalojiri hatua kwa hatua."
Nani anajali kelele za mbowe aka ayatolah

USSR
 
Yeye yuko wapi? Hilo jitu ni lioga mno
Hilo la maadhimisho walijiamulia Tu Akina Lisu Mbowe hakushirikishwa ndio maana hakutoka tamko lolote kabla alipoona wamedakwa na polisi ndio katoa tamko kujiosha

Ila kimoyomoyo kafurahi kuona wamekamatwa na polisi.anasikia hadi raha
 
Yeye yuko wapi? Hilo jitu ni lioga mno
Ni mgeni rasmi asingekuja na wengine. Acha maneno ya kipuuzi na uchawa. Wanaoteseka wanaoteseka Kwa ajili ya maisha yako na watoto wako na taifa hili. Ila kwakuwa uko ndani ya chupa ya 🍷 unaendelea kupewa taratibu.
 
Ni mgeni rasmi asingekuja na wengine. Acha maneno ya kipuuzi na uchawa. Wanaoteseka wanaoteseka Kwa ajili ya maisha yako na watoto wako na taifa hili. Ila kwakuwa uko ndani ya chupa ya 🍷 unaendelea kulewa taratibu.
 
"Tunalaani vikali Jeshi la Polisi kukamata Viongozi wetu Wakuu wa Chama ikiwemo Viongozi wa Baraza la Vijana wa Chadema, BAVICHA.

Aidha, tunalaani mkakati wa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa kushirikiana na Polisi kuzuia kongamano la Bavicha katika kuazimisha siku ya vijana duniani hapo kesho j'tatu 12 Agosti.

Soma Pia:
Tunadai kuachiwa haraka na bila masharti Viongozi, Wanachama na wapenzi wetu wote waliokamatwa maeneo mbalimbali ya nchi.

Chama kinafuafilia kwa makini yanayoendelea na kitaendelea kuuhabarisha Umma kila linalojiri hatua kwa hatua."
kuna mzee mmoja pale nchi jirani husema shenzi saaana
 
Yeye yuko wapi? Hilo jitu ni lioga mno
AaaYeye angekuwa ndani nani angezungumza. Siasa ni sanyansi. Hakuna Maandamano ya watu makini walioko kwenye halo ya kupigania jambo furani yanayojusisha watu wote. Kama wote wakikamatwa nani atawawekea dhamano? Mambo huenda kwa mipango na hiyo ndiyo mipango. Mbowe yuko sahihi.
 
Back
Top Bottom