Hao sio wa Mwanza tu, kuna wa Mkoa wa Mara, Shinyanga, Kagera, Tabora, Simiyu, Singida, Kilimanjaro, wamekutana Mwanza tu
Kila mtu ana kichwa chake kwa ajili ya kufikiri, uliniazima kichwa chako?Basi kubali Maandamano yamefanyika🐼🔥
Weka hata kapicha basi ka roli au bus linasomba watu ili tukuamini zaidi.Hao sio wa Mwanza tu, kuna wa Mkoa wa Mara, Shinyanga, Kagera, Tabora, Simiyu, Singida, Kilimanjaro, wamekutana Mwanza tu
Hivi wale wajinga waliosema hawataki maandamano ya Chadema "NCHINI" mwao wako wako wapi?View attachment 2906031
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , ametoa ujumbe Maalumu kwa Wakazi wa Mwanza kama shukrani kwa kuunga mkono Maandamano ya Amani ya kupinga Ufukara na ugumu wa maisha , pamoja na Miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi .
View attachment 2906028
Ujumbe wa Mbowe kwa watu wa Mwanza huu hapa
View attachment 2906029
Wewe unaenda kugombea jimbo gani?Wasukuma ni wasomi mno !