Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?Mwamba Freeman Mbowe , Mtemi Isike , ambaye pia ameteuliwa kuwa Kiongozi wa Wamasai na Wazee wa Arusha au MTU CHUMA kama anavyoitwa na Vijana wa kisasa , tayari amewasili mkoani Kagera kushiriki Maziko ya Mjumbe Mstaafu wa Kamati Kuu ya Chadema , Mwesigwa Baregu .
Taarifa zinaonyesha kwamba Mazishi ya Profesa Baregu yatafanyika Kesho Mkoani Kagera
View attachment 1823825
Imeandikwa wapi kwamba mtu asivae barakoa hata kama anajisikia kuvaa?Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?
Akili ya chini kabisa hii. Unavaa barakoa ili kuwalinda watu wengine usiwaambukize ugonjwa.Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?
Kuna haja gani sasa ya kuchanjwa?Akili ya chini kabisa hii. Unavaa barakoa ili kuwalinda watu wengine usiwaambukize ugonjwa.
Mtu akiyechanjwa naye huwezi kupata ugonjwa wa Corona Ila tu unakuwa hauna madhara ya kumuua au kumlaza hospitali.
Mtu akichanjwa mara ya 2 ndio hana haja na barakoa , lakini mwenye chanjo 1 anapaswa kujikingaKuna haja gani sasa ya kuchanjwa?
Magufuli hakuwahi kuwa na ndegeAnaruka tu na ndege za Magufuli huku walipinga ununuaji wake.
Sioni taga likirudi [emoji23][emoji23]Magufuli hakuwahi kuwa na ndege
Pole yetu CHADEMA , apunzike kwa amani kiongozi wetu mzee wetu.✌🏽✌🏽✌🏽Pole yao sana wafiwa...
Sawa Kamanda...Japo umepamba mno....Tujikite msibani...Safari njema Kamanda Pro.Baregu
MUNGU AMLINDE SANA Mwenyekiti Mbowe.Mwamba Freeman Mbowe , Mtemi Isike , ambaye pia ameteuliwa kuwa Kiongozi wa Wamasai na Wazee wa Arusha au MTU CHUMA kama anavyoitwa na Vijana wa kisasa , tayari amewasili mkoani Kagera kushiriki Maziko ya Mjumbe Mstaafu wa Kamati Kuu ya Chadema , Mwesigwa Baregu .
Taarifa zinaonyesha kwamba Mazishi ya Profesa Baregu yatafanyika Kesho Mkoani Kagera
View attachment 1823825
HakikaLaigwanani Freeman Ole Mbowe
Hata ukichanjwa unashauriwa kuvaa barakoa mpaka angalau asilimia 70 au 80 ya wakazi wote wakichanjwa. Hauoni Biden aliendelea kuvaa kwa muda mrefu tu?Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?
Anaweza kuwa Carrier akawaambukiza Wengine. He is very Smart That Guy.Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?
Sasa mvua ikinyesha utaacha mwamvuli kwakua umevaa shati?Anavaaje barakoa nawakati anachanjo?
Hamna kituu. Chanjo gani hiyoHata ukichanjwa unashauriwa kuvaa barakoa mpaka angalau asilimia 70 au 80 ya wakazi wote wakichanjwa. Hauoni Biden aliendelea kuvaa kwa muda mrefu tu?
Amandla...