Freeman Mbowe awasili Mkoani Mbeya tayari kwa Maandamano ya Amani

Freeman Mbowe awasili Mkoani Mbeya tayari kwa Maandamano ya Amani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio taarifa mpya ya sasa , kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania amekwishatua Jijini Mbeya , hii maana yake ni kwamba ataongoza Maandamano ya Amani ya kupinga dhiki , Ufukara na Ugumu wa Maisha , Pamoja na miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi

Screenshot_2024-02-19-20-48-12-1.png
 
Hii ndio taarifa mpya ya sasa , kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania amekwishatua Jijini Mbeya , hii maana yake ni kwamba ataongoza Maandamano ya Amani ya kupinga dhiki , Ufukara na Ugumu wa Maisha , Pamoja na miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi

View attachment 2909311
Mpaka muda huu barua yetu ya UN imeleta matokeo gani!
 
Back
Top Bottom