Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Takbhiiiiiiirrrr !!Amiiin
InapendezaView attachment 2764967
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2764965
Bwana Abubakar Freeman MboweView attachment 2764967
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2764965
Asijipendekeze huyo, hatumpi asiye Muislam kura zetu.View attachment 2764967
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2764965
View attachment 2764967
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2764965
[emoji15][emoji15][emoji15]Asijipendekeze huyo, hatumpi asiye Muislam kura zetu.
View attachment 2764967
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2764965
Mimi naandika kiarabu cha Saudia , wewe una kile cha DP WORLDNi takbiiir...
Shukran [emoji120]
Magufuli mbona mlimpa ?Asijipendekeze huyo, hatumpi asiye Muislam kura zetu.
Tanganyika inakuja , Zanzibar isharejeshwaTumezipokea [emoji120]
Mfikishie ujumbe wa shukran Kamarada Al Ustaadh Aboubakar Mbowe mwambie Maduka 6 Majohe Gongolamboto msikiti wa kwa Mpogo kutafanyika maulid makubwa siku ya jumamosi saa 3 usiku in shaa Allah[emoji120]
Kama kawaida yao ,ngamia wawili "wataanguka"[emoji120]
Kwa hiyo wewe na Ashaykh ul Kiraam Aboubakar Mbowe mnakaribishwa sana sana [emoji120]
Allahumma swaliy alaaa khatama tu nabiyyina wa nubuwwata walmursaliin ,sayyidina wa habibina wa maulana Muhammad ibn Abdillahi Nnuri min nnuri llahi [emoji120]
#Lidumu Taifa la Tanzania ,amen[emoji120]
Kwa matendo machafu yote kumbe we nimwislamu, duu waislamu hatuna ubaguzi usiichafue dini yetu sisi tutachagua mgombea mweye sela nzuri awe Chadema au CCM.Asijipendekeze huyo, hatumpi asiye Muislam kura zetu.
Mwamba Muonyesha njiaBwana Abubakar Freeman Mbowe
Yule mwenye hatima ya Taifa la TanzaniaMwamba Muonyesha njia
Kweli aiseeKwa matendo machafu yote kumbe we nimwislamu, duu waislamu hatuna ubaguzi usiichafue dini yetu sisi tutachagua mgombea mweye sela nzuri awe Chadema au CCM.
HakikaYule mwenye hatima ya Taifa la Tanzania