Freeman Mbowe bado haamini kilichotokea

Freeman Mbowe bado haamini kilichotokea

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Freeman Mbowe haamini yaliyotokea. Hakujiandaa kustaafu kwa hiyo amepata mshtuko mkubwa! Kuna mengi yamemponza lakini machache ni haya yafuatayo:

1. Kuondoa wanachama wenye uwezo katika nafasi za uongozi na utendaji na kuweka wale wanaomtii na nidhamu ya woga.

2. Kutokuwa na msimamo madhubuti katika kulinda sera za chama.

3. Kutowashirikisha kikamilifu viongozi wenzake katika maamuzi muhimu ya Chama.

4. Kutokuwa muwazi katika mambo ambayo anajadiliana na Rais/serikali.

5. Kiburi cha fedha zake katika kuendesha Chama.

6. Kutaka kupewa shukrani zisizo na ukomo kwa misaada anayotoa.

7. Kutengeneza makundi ya vijana wapambe wake.

8. Kuamini wapambe kwa kupitiliza.

9. Kudharau viongozi wenzake wasio na uwezo wa kifedha.

10. Kuamini kuwa bila yeye hakuna Chadema.
 
Freeman Mbowe haamini yaliyotokea. Hakujiandaa kustaafu kwa hiyo amepata mshtuko mkubwa! Kuna mengi yamemponza lakini machache ni haya yafuatayo:

1. Kuondoa wanachama wenye uwezo katika nafasi za uongozi na utendaji na kuweka wale wanaomtii na nidhamu ya woga.

2. Kutokuwa na msimamo madhubuti katika kulinda sera za chama.

3. Kutowashirikisha kikamilifu viongozi wenzake katika maamuzi muhimu ya Chama.

4. Kutokuwa muwazi katika mambo ambayo anajadiliana na Rais/serikali.

5. Kiburi cha fedha zake katika kuendesha Chama.

6. Kutaka kupewa shukrani zisizo na ukomo kwa misaada anayotoa.

7. Kutengeneza makundi ya vijana wapambe wake.

8. Kuamini wapambe kwa kupitiliza.

9. Kudharau viongozi wenzake wasio na uwezo wa kifedha.

10. Kuamini kuwa bila yeye hakuna Chadema.
Ngoja tusubirie Hawa Wapya.
 
Shida za siasa kuna habari kabla ya tukio, kuna habari wakati wa tukio na kuna habari baada ya tukio.

Sasa mtu ameshakubali kushindwa kama ilivyo tarajiwa na wengi na matakwa ya wengi,sasa ya nini tena kukosa utulivu,au kwa nini sasa isiwe hoja nini kiwe nini baada kushinda kuliko kuanza kumjadili mshindwa?
 
Yaani nimewaza ingekuwa kama CCM basi ilikuwa ni time ya Singida kuwa Guangzhou, 🤣 😂!.

Ila sivyo, hawa ni kiduuchu sana but wao ni full mapambano!.
 
Sawa kabisa
Freeman Mbowe haamini yaliyotokea. Hakujiandaa kustaafu kwa hiyo amepata mshtuko mkubwa! Kuna mengi yamemponza lakini machache ni haya yafuatayo:

1. Kuondoa wanachama wenye uwezo katika nafasi za uongozi na utendaji na kuweka wale wanaomtii na nidhamu ya woga.

2. Kutokuwa na msimamo madhubuti katika kulinda sera za chama.

3. Kutowashirikisha kikamilifu viongozi wenzake katika maamuzi muhimu ya Chama.

4. Kutokuwa muwazi katika mambo ambayo anajadiliana na Rais/serikali.

5. Kiburi cha fedha zake katika kuendesha Chama.

6. Kutaka kupewa shukrani zisizo na ukomo kwa misaada anayotoa.

7. Kutengeneza makundi ya vijana wapambe wake.

8. Kuamini wapambe kwa kupitiliza.

9. Kudharau viongozi wenzake wasio na uwezo wa kifedha.

10. Kuamini kuwa bila yeye hakuna
 
Shida za siasa kuna habari kabla ya tukio, kuna habari wakati wa tukio na kuna habari baada ya tukio.

Sasa mtu ameshakubali kushindwa kama ilivyo tarajiwa na wengi na matakwa ya wengi,sasa ya nini tena kukosa utulivu,au kwa nini sasa isiwe hoja nini kiwe nini baada kushinda kuliko kuanza kumjadili mshindwa?
Tunamjadili mshindwa ili viongozi wapya wawe na la kujifunza na kujirekebisha.
 
Back
Top Bottom