Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuwekee kifunguAnavunja katiba ya chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee kifunguAnavunja katiba ya chama
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Freeman Mbowe akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi ya CHADEMA wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Jumapili Desemba 15, 2024.
Updates...
Mbowe
CHADEMA inaoutofauti na vyama vingine vya upinzani kwa sababu kimeweza kuimili misukosuko kwa sababu kimejengwa ndani ya mioyo ya wana CHADEMA na ukiwaona kimejengwa kwenye mioyo ya wana CHADEMA.
Ninapenda kuchukua nafasi hii kuwapa pole sana wapiganaji wote mlioko mahali hapa ambao mlikuwa wagombea wa serikali za mitaa katika maeneo yetu ya Jiji letu la Dar es Salaam, kanda ya Pwani na hata wale wote waliojitokeza nchi nzima. Rai yangu kama Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, kosa kubwa sana katika maisha ya binadamu na katika harakati ni kukata tamaa. Hawa wenzetu wa upande wa pili (CCM) wana kusudio la makusudi kabisa kabisa la kutukatisha tamaa, na sisi wakati mwingine tunawehuka na kuanza kukata tamaa na kuona kuwa safari yetu haiwezekani"
"Nimesema na ninarudia tena, kitendo cha serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusimamia wizi wa kura mchana kweupe, una mambo mawili. Kwanza ni kukiri udhaifu wao wa kupambana kwenye sanduku la kura kwa misingi ya kweli na haki, ni ushuhuda tosha kuwa wenzetu hawajiamini tena kwenye sanduku la kura. Jambo la pili, ni ushuhuda ulio wazi kwamba wenzetu hawa wanaihofia CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya mageuzi ya vyama vingi katika nchi yetu.
Ndiyo sababu watu wazima na busara zao, wanakubali fedheha ya kutukanwa na kudharauliwa nchi nzima kwa wizi wa kura unaofanyika mchana ambao kila binadamu mwenye akili timamu anaona. Ukiona mtu wa aina hiyo anakubali aibu ya kiwango hicho ujue mtu huyo amefika kiwango cha chini kabisa kabisa cha ujasiri wa kisiasa. Kwahiyo nyinyi badala ya kukata tamaa, mnapaswa kujikusanya na kujitafakari, tuchambue tulikosea wapi. Ndiyo, tumeonewa lakini kwanini tumeruhusu tukaonewa namna hii? Tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu ujao, ofisi hii kuanzia kesho (Desemba 16, 2024) ikageuke kuwa eneo la mkakati wa namna ya kuandaa Kinondoni kufikia malengo yetu ya kisiasa katika uchaguzi mkuu ujao
Msajili wa chama hii imekaaje hata JF angepigwa BanMwamba kama Mwamba
Nani aliyekwenda kunywa juice na namba 1 wao? Tuanzie hapo"Nimesema na ninarudia tena, kitendo cha serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusimamia wizi wa kura mchana kweupe, una mambo mawili. Kwanza ni kukiri udhaifu wao wa kupambana kwenye sanduku la kura kwa misingi ya kweli na haki, ni ushuhuda tosha kuwa wenzetu hawajiamini tena kwenye sanduku la kura. Jambo la pili, ni ushuhuda ulio wazi kwamba wenzetu hawa wanaihofia CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya mageuzi ya vyama vingi katika nchi yetu.
afadhalli bana kama mmeacha kuteka watu dah!Chadema imeteka JF
Mbona CCM wana waziri ambaye anakaribia miaka 80?! Kwa nini naye asijiuzulu?!Itakuwa demokrasia.
Isipo it’s time ya Mwenyekiti wenu ku retire kwa sheria za nchi 60+ years ni muda wa kulea wajukuu.
HIyo inaweza kuwa clan bora zaidi yenye kutoa protain na calcium kwa wingi kuliko Panya clan isiyo na manufaa kwa binadamu zaidi ya kuwa lishe ya mnyama anayefugwa na binaadamu.🐼
Haya
J J Mnyika ana Press Kesho saa 5
Kambale clan
zimejaa tele ndio maana waenguaji hata leo wanajiona washindi japo kwa aiibu sana.Hekima na Busara hazipo tena Chadema, viongozi wanaliana timing tu 🐼
Wanao wapotosha hamuwaoni kweli wasioona kwa upofuwa kupewa wamefurika.chadema mnalipwa pesa ngapi na mabeberu kuupotosha uma
Wewe jamaa,kwanini umechelewa hivyo kufika kwa ze bulldozer ayatoe mapepo yanayokuhangaisha?afadhalli bana kama mmeacha kuteka watu dah!
mnatesa sana familia za watu.
bora mlivyoiteka JF🐒
Kipi bora kambale analiwa ila fisi haliki hata na wenzie.Chama Cha Kambale.
gentleman,Wewe jamaa,kwanini umechelewa hivyo kufika kwa ze bulldozer ayatoe mapepo yanayokuhangaisha?

Iwapo unayosema ni kweli kondoo wajiandae kwenda kutafutwa msitu wa Shakahola kwa akina Mackenziegentleman,
hujui kwamba unaongea na apostle?![]()
imeandikwa....Iwapo unayosema ni kweli kondoo wajiandae kwenda kutafutwa msitu wa Shakahola kwa akina Mackenzie

Ila sii msituniimeandikwa....
Walipokwisha kula, Yesu akamwuliza Simoni Petro, “Simoni mwana wa Yohana, unanipenda kweli kuliko hawa?” Yeye akamjibu, “Ndio Bwana, wewe unajua ya kuwa nakupenda.” Yesu akamwambia, “Lisha wana kondoo wangu.”
Yohana.21:15