Freeman Mbowe: CCM wanakusudia kutukatisha tamaa na sisi wakati mwingine tunawehuka na kuanza kukata tamaa

Si mlituambia anatangaza Nia.
 
Nani aliyekwenda kunywa juice na namba 1 wao? Tuanzie hapo
 
Itakuwa demokrasia.

Isipo it’s time ya Mwenyekiti wenu ku retire kwa sheria za nchi 60+ years ni muda wa kulea wajukuu.
Mbona CCM wana waziri ambaye anakaribia miaka 80?! Kwa nini naye asijiuzulu?!
 
🐼

Haya

J J Mnyika ana Press Kesho saa 5

Kambale clan
HIyo inaweza kuwa clan bora zaidi yenye kutoa protain na calcium kwa wingi kuliko Panya clan isiyo na manufaa kwa binadamu zaidi ya kuwa lishe ya mnyama anayefugwa na binaadamu.
 
Iwapo unayosema ni kweli kondoo wajiandae kwenda kutafutwa msitu wa Shakahola kwa akina Mackenzie
imeandikwa....

Walipokwisha kula, Yesu akamwuliza Simoni Petro, “Simoni mwana wa Yohana, unanipenda kweli kuliko hawa?” Yeye akamjibu, “Ndio Bwana, wewe unajua ya kuwa nakupenda.” Yesu akamwambia, “Lisha wana kondoo wangu.”

Yohana.21:15
 
Ila sii msituni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…