Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Asipotangaza mbowe kuzuia mikutano kwa kigezo cha korona ! Niatarudi shule tena ya vidudu kuanza upya!
Hizo siasa za maigizo huku yeye akipiga pesa kupitia mawakiri na kutuchangisha sisi wakati anasema vyuma vimekaza!
Hakika hatumuelewi
Kama nyie niwanufaika moja wapo sisi tunaoandamana na kupigwa naukitoka hupati hata kifuta jacho! Hatupo tayari.
Mawakiri ni tundu alilotoboa lakula hela za chama.
Usiombeee raia uwoga uwatokeKaribu bwana Mbowe
Unafikiri wewe ndiyo mwanasiasa wakwanza Tanzania?
Hata nusu ya Mtikila au Mrema bado hujafikia!
Utakamatwa na utafungwa, kama Segerea umeona bustani ukafiri ni shamba, sasa utaenda Kitqengule uone shamba lenyewe
Na nakuhakikdishia baada ya hapo utajifunza kuheshimu mamlaka
Hujui kama shamba lipo paleMbowe amedai wakati alipokuwa shambani hapo gerezani Segerea ndipo aliposikia milio ya risasi za bunduki.
Nimejiuliza tu Segerea gerezani kuna shamba pale?
Anayejua Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Wauaji wanadunda tu mtaaniKifo cha akwilini kimeiingizia serikali m 350 pasipo kuhusisha wahusika wakuu wa vurugu zile waliokingiwa kifua yaani mkuregenzi, polisi waliokuwa zamu na mbunge aliyeuza utu wake.
Dah umenivunjia heshima sana, na nikuambie toka ndani ya moyo wangu umeniumiza sana
Double standard
Na kwamba hao watakuwa malaika, au!Swali zuri sana, kuanzia sasa vyama vya siasa vitapendekeza majina mawili mawili. Kisha hao wataingia kuwachagua majaji watano, viongozi wa dini watano, na watu watano mbalimbali toka haki za binadamu na asasi nyingine huru. Kundi hili ndio litamchagua mwenyekiti wa tume na wasaidizi wake, na ndio litalotoa muundo wa tume. Kulipwa watalipwa na pesa za umma na sio kwa mapenzi ya rais. Fungu la kuwalipa litakuwa kisheria na sio hisani ya mtu yoyote.
Na kwamba hao watakuwa malaika, au!
Mirembe could be an ideal home for some folks who only see issues from a similar angle of view.Yaani hiki kishakua kimeo, sasa jalada la Akwilina linahusiana nini na nyie kufanya mikutano nchi nzima? Si mkakate rufaa au kufungua kesi mahakamani? Yes mtaanza ooh mahakama si za hao hao! Sasa niwakumbushe tu kwamba hata mabuti, bunduki na vitunguu ni vyao pia na hata hizo hospitali wanamkono wao humo pia
Sent using Jamii Forums mobile app