Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaki kustaafu siasa sijachoka

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Hatutaki kustaafu siasa sijachoka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kamanda, siyo lazima mtazamo wako ufanane na wa kwangu. So keep it cool.
Naam mimi naandika vitu OBJECTIVE, wewe unaandika SUBJECTIVE, jifunze maana ya hayo maneno utaelewa wewe ni mjinga wa asilimia ngapi 🤣🤣🤣
 
Unajua kuwa Kuna wahitimu wa vyuo vikuu wengi hawana ajira?? Hivi unafikiri ni wajinga?? Kama siasa ingekuwa ajira si wangejiunga wote ili kujiajiri??🤣🤣🤣 Nimeamini kuwa KATIKA MWANGA KUNA WAJINGA WENGI WAKO GIZANI 🤣🤣🤔🤔

Samahani mkuu Naomba nikupe pongezi kwa kuchagua UJINGA pia nikuite POPOMA au BUMUNDA 🤣🤣
Tale Mkuu DAWA zingine ni chungu ,ila meza tu hamna namna,kuweka emoji ya dislike haisaidii kitu.
 
Kama miaka 20 hajatimiza anachopigania ina maana ameshindwa. Pengine adui ameishazisoma mbinu zake. Akabidhi kijiti. Hatuishi milele.
 
Unajua kuwa Kuna wahitimu wa vyuo vikuu wengi hawana ajira?? Hivi unafikiri ni wajinga?? Kama siasa ingekuwa ajira si wangejiunga wote ili kujiajiri??🤣🤣🤣 Nimeamini kuwa KATIKA MWANGA KUNA WAJINGA WENGI WAKO GIZANI 🤣🤣🤔🤔

Samahani mkuu Naomba nikupe pongezi kwa kuchagua UJINGA pia nikuite POPOMA au BUMUNDA 🤣🤣
Kwani hivi Sisi wasomi tunapozungumza ajira huwa tunamaanisha kitu gani? Naona bado kuna watu tunatamka hili neno bila ya kujua nini hasa maana yake
 
Kwani hivi Sisi wasomi tunapozungumza ajira huwa tunamaanisha kitu gani? Naona bado kuna watu tunatamka hili neno bila ya kujua nini hasa maana yake
Nimem challenge makusudi, maana inaonekana haelewi kabisa maana ya ajira.
🙏🙏
 
Back
Top Bottom