Freeman Mbowe is ready to bring in the House statistics showing that Magufuli is biased towards certain appointments

Freeman Mbowe is ready to bring in the House statistics showing that Magufuli is biased towards certain appointments

Ruttashobolwa CDM NI CHAMA, SERIKALI SYO CHAMA, JARIBU KUTOFAUTISHA HAPA. CHAMA KINAMILIKIWA ILA SERIKALI HAIMILIKIWI NA MTU BINAFSI, LAZIMA KUWE NA TOFAUT KTK KUONGOZA TAASIS YA SERIKALI NA TAASIS YA MTU.
 
ukweli mtupu huo bashite anapeta tu pamoja na kuvamia clouds
 
Mheshimiwa Mbowe badala ya kuungana na wabunge wa CCM kuibana serikali kwenye masuala ya uchumi anaanzisha mjadala wa kikanda na kabila. Mbona viongozi wote waandamizi wa Chadema wanatoka kaskazini.
Hujamsikia jana?
 
Hata teuzi za CHADEMA zina upendeleo pia, zimejaa ukanda/ukabila na udini. Kabla KUB hajaishambulia Serikali ni vyema akaanza kusafisha kwake kwanza...
Mifano ipo mingi sana

- Nafasi nyingi na nyeti chadema zimeshikwa na wanachama kutoka kaskazini.
- Ubunge viti maalum 2010 - mpaka leo zimejaa upendeleo kwa kupewa mahawara/ndugu/jamaa wa vigogo wa chama

1. Joyce Mukya - Kimada wa Mbowe
2. Anatropia - Kimada wa John Mrema
3. Susane Maselle - Mke wa Makene
4. Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
5. Marehemu Christina Lissu - Dada wa Tundu Lissu
6. Grace Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
7. Sabrina Sungura - Kimada wa Komu
8. Mama Maulida Anna Komu - Ndugu wa Komu
9. Rose Kamili - Alikuwa mke wa Slaa
10. Mama Lowassa - Alitaka kupendelewa akawachomolea
11. Lowassa kahamia na wanachama kibao na watatu ni wabunge viti maalum.
12. List inaendelea na ni ndefu maana Kubenea ana hawara ni viti maalum....
13. Kuna wabunge viti maalum wachaga wamepewa ubunge uwakilishi mikoa mingine, wenyeji walilalamika sana

Kumbe mbowe alikuwa sahihi hakukosea tunashukuru kwa kulikubali hilo nilifikir anamuonea.
 
Hata teuzi za CHADEMA zina upendeleo pia, zimejaa ukanda/ukabila na udini. Kabla KUB hajaishambulia Serikali ni vyema akaanza kusafisha kwake kwanza...
Mifano ipo mingi sana

- Nafasi nyingi na nyeti chadema zimeshikwa na wanachama kutoka kaskazini.
- Ubunge viti maalum 2010 - mpaka leo zimejaa upendeleo kwa kupewa mahawara/ndugu/jamaa wa vigogo wa chama

1. Joyce Mukya - Kimada wa Mbowe
2. Anatropia - Kimada wa John Mrema
3. Susane Maselle - Mke wa Makene
4. Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
5. Marehemu Christina Lissu - Dada wa Tundu Lissu
6. Grace Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
7. Sabrina Sungura - Kimada wa Komu
8. Mama Maulida Anna Komu - Ndugu wa Komu
9. Rose Kamili - Alikuwa mke wa Slaa
10. Mama Lowassa - Alitaka kupendelewa akawachomolea
11. Lowassa kahamia na wanachama kibao na watatu ni wabunge viti maalum.
12. List inaendelea na ni ndefu maana Kubenea ana hawara ni viti maalum....
13. Kuna wabunge viti maalum wachaga wamepewa ubunge uwakilishi mikoa mingine, wenyeji walilalamika sana
Kwa Hali hii tusitegemee chama cha Upinzani kwenda Ikulu. Chadema kwasasa naifananisha na chama cha Jubilee cha Kenya kwenye mfumo wa Ukabila na ukanda
 
Hata teuzi za CHADEMA zina upendeleo pia, zimejaa ukanda/ukabila na udini. Kabla KUB hajaishambulia Serikali ni vyema akaanza kusafisha kwake kwanza...

Mifano ipo mingi sana

- Nafasi nyingi na nyeti chadema zimeshikwa na wanachama kutoka kaskazini.
- Ubunge viti maalum 2010 - mpaka leo zimejaa upendeleo kwa kupewa mahawara/ndugu/jamaa wa vigogo wa chama

1. Joyce Mukya - Kimada wa Mbowe
2. Anatropia - Kimada wa John Mrema
3. Susane Maselle - Mke wa Makene
4. Lucy Owenya - Mtoto wa Ndesamburo
5. Marehemu Christina Lissu - Dada wa Tundu Lissu
6. Grace Kiwelu - Mkwe wa Ndesamburo
7. Sabrina Sungura - Kimada wa Komu
8. Mama Maulida Anna Komu - Ndugu wa Komu
9. Rose Kamili - Alikuwa mke wa Slaa
10. Mama Lowassa - Alitaka kupendelewa akawachomolea
11. Lowassa kahamia na wanachama kibao na watatu ni wabunge viti maalum.
12. List inaendelea na ni ndefu maana Kubenea ana hawara ni viti maalum....
13. Kuna wabunge viti maalum wachaga wamepewa ubunge uwakilishi mikoa mingine, wenyeji walilalamika sana
Kazi kweli kweli nyani haoni.......?
 
Kuonyesha kukomaa kisiasa hata CDM wajitafakari. Kuwe na kitengo cha utafiti ili kuboresha chama. Wengi tuna imani na CDM lakini ukiangalia viongozi wengi ni kutoka kaskazini. Ni heri kuchanganya na wale wabobezi wawe washauri wa chama ili nchi nzima kuwe na wawakilishi katika ngazi za juu.
 
Mbowe bana!alitaka ateuliwe yeye?
Aaangalie orodha yake viti maalumu kwanza halafu aje na hizo statistics zake
 
hahahaha chadema ubaya kwenye hii vita ya dhidi ya watu wa kanda ya ziwa watashindwa na ubaya wanajua fika hawana uwezo wa kushinda vita hii...na mara nyingi kwenye vita hii chadema ndio huumia.....

Magufuli anachopanda kita backfire,huyu MTU no hatari sana maana no mkabila kupitiliza,anafaa kuongoza mashetani na ski viumbe waliobarikiwa na mungu,
 
Hahahaha mbowe banah huwa ana vikauli vinachekesha hahahah eti harufu ya upendeleo......
 
Kabla hujashambulia basi hakikisha kwako kuko saafi.
Kwa chadema hii hoja hawapaswi kuishadadia sababu inawaumbua
Kama Mbowe analalamikia Ukabila Acha nami nilalamikie Udini!


90% ya Wasukuma wanaoteuliwa ni wa dini Moja !

Tukitetea kuwa Rais hatazami dini anatazama Sifa na utendaji Basi pia namtetea Rais kuwa hatazami Kabila anatazama Sifa sio Kabila
Pamoja na comments zenu nzuri ......... wote mnakubaliana na Mbowe kiaina!!
 
Alikuwa wapi kuyaongelea haya zama zile za niwa dini yetu?

Hawa wanao leta takwimu za uchumi kushuka kwa kulinganisha mwaka 2011 mpaka 2017 Tuna omba watuletee takwimu za biashara ya mihadarati kwa kipindi hichohicho. Watuketee takwimu za watu walionyongwa china, tembo walio uliwa, tuhuma za kifisadi, bei za kandarasi serikali ilizokuwa inalipa nk.

Ili mwisho wa siku hata wale wenye ulewa finyu wajue uchumi wetu ulikuwa unaendeshwa kwa nguvu za kiuchumi ambazo nyingine ni haramu Mtu anaenda na mihadarati china akirudi anafungasha mzigo wa bidhaa feki. Halafu ana kuja mchumi kama Zitto eti import imeshuka kipindi hiki. Hataki kusema wakati ule ilipanda kwa fedha za mihadarati zikichangiapo.


Zimejaa ukanda,dini na kabila ndio maana uchumi unasuasua kwa sababu hakuna mchanganyiko sahihi wa mawazo na uzoefu wa kukabiliana na changamoto.

Infact Mbowe pia anajisahau kuwa hata teuzi cha CHADEMA nazo zimejaa ukanda na ukabila na hata udini. Aache unafiki.
 
Eeeeeeeh
Kiongozi wa wapiga kelele hicho anataka kusukuma cha vyeo.. eti kitawasaidia mbeleni eeeeeeeh

Yaani upinzani wapo honeymoon waijuayo wao awamu hii.. hawajali kabisa wananchi na kutaka kuona maendeleo.
I see you
 
"Toa kwanza boriti lililomo jichoni mwako kabla ya kuangalia la mwenzako".. Cdm katika wameyumba ....
 
Tunarudi enzi za ukoloni za "divide and rule" wakoloni wa leo ni weusi wenzetu.
 
Back
Top Bottom