johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;