Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
WIVU utakuua mkuu Akili ndogo utaijua tuMlamba asali, Mzee wa madili We wish you a good safari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WIVU utakuua mkuu Akili ndogo utaijua tuMlamba asali, Mzee wa madili We wish you a good safari
Hata wewe ukiwa mwenyekiti hapo TLP tutakutaja kila wakatiKumbe NDIO maana huachi kumtaja Kila Wakati, Roho inakuuma
Hivi ni kwanini CCM huwa inaiba kura kipindi cha uchaguzi Mkuu?
Kwani mbowe ni kilema?Ni upumbavu uliokithiri kumcheka kilema, Mungu amekujalia wewe japo huenda kwenye ndugu zako (kama unao) wapo vilema nao unawacheka, kuwadharau na kuwakana kuwa ni nduguzo.
KUMCHEKA KILEMA SIYO SIASA NI UJINGA.
Inawahusu Chadema pia'…kila siku unalia lia kuibiwa kura…na wewe si uibe …'-Rais anaemaliza muda wake Nchini Kenya Uhuru Kenyata
Hata chaguzi zao wanajiibia,Hivi ni kwanini CCM huwa inaiba kura kipindi cha uchaguzi Mkuu?
Huwezi kusikia amealikwa Kinana hata siku mojaKuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;
Ukweli Mbowe aliteswa sn na utawala wa shetani yule wa ChatoAcha Mh. Mbowe hivi sasa aishi kwa amani, kwa kuwa maisha yake ya kisiasa na ya viongozi wengine wa CDM yalikuwa hatarini mno katika kipindi cha awamu iliyopita.
Kesi za kubambikiwa za uchochezi, mikutano iliyoharamishwa kwa makusudi,, madawa ya kulevya na ugaidi; kuhujumiwa na kufilisiwa mali; kufungiwa akaunti za benki; kuzuiwa kufanya shughuli halali za kisiasa; kushambuliwa na wasiojulukana, kujeruhiwa, kuumizwa, na kuuwawa n.k
Dhuluma zilikuwa nyingi mpaka mamlaka ya juu mbinguni ikaingilia kati na kumuweka pembeni mtesi wao mkuu. Kweli kila nafsi itakuja kuhukumiwa mbele za Mungu kutokana na matendo binafsi ya mtu mwenyewe.
Na iwe vyovyote vile, Mh. Mbowe kula sasa bata ama kuku kwa mrija hata kama wale wenye kijicho watasema ni kulamba asali. Kwa hakika kwa maisha unatoyaishi hivi sasa, umechagua fungu lililo jema.
Ama alijitesa tu!Ukweli Mbowe aliteswa sn na utawala wa shetani yule wa Chato
UWT utaelewa niniAma alijitesa tu!
Anajitesa kutetea Wauza mbege!UWT utaelewa nini
Mpuuzi weweAnajitesa kutetea Wauza mbege!
Bora angeendelea tu na ile Pub yake
Hahahaaha John acha pombe ujueHata wewe ukiwa mwenyekiti hapo TLP tutakutaja kila wakati
Hivi kwann Mbowe ana watetezi wengi sana wajinga wajinga humuUna uhakiki na ulichoandika hapa juu ! Au chuki Zako zimekutuma!??!
Mama yako alikufundisha kuwa makengeza ni pozi, kwa sababu mpenzi wake ambaye ni baba yako alikuwa nayo ndiyo maana akafoli in lavu. Mnaacha kuongea vya maana mnaongelea maumbile, huo ni ujinga.Kwani mbowe ni kilema?
Kinaaminiwa na waingereza lakini sio wapiga kura wa TanzaniaNi heshima kubwa sana kwa Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzani kinachoaminika hata na Wazungu haswa Waingereza BIG UP CHADEMA"...….PEOPLE'S......
Makengeza anaupiga mwingi.
Mfalme mbowe wa chadema
Nyie ccm mkoje jamn,,unawez kutoa kauli kam hii isiyo ya utu??Kwan ulimuumba wwe au Mungu???Tegemea kuwa mlemavu mda si mrefu!!!!Makengeza anaupiga mwingi.
Mfalme mbowe wa chadema.
Ushindwe na ulegee.Tegemea kuwa mlemavu mda si mrefu!!!!