johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Usiruhusu nongwa ikutawale, utakufa maskini. Umaskini wa kwenu haukusababishwa na Mbowe wala CDM wala CCM. Ni uzembe wa ukoo wako.Mlamba asali, Mzee wa madili We wish you a good safari
Chadema chama kubwa sana kuliko watanzania wengi wanavyo fikiliKuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;
Hata wao awajui [emoji1][emoji1]Hivi ni kwanini CCM huwa inaiba kura kipindi cha uchaguzi Mkuu?
Kwasababu ni majizi na waroho wa madarakaHivi ni kwanini CCM huwa inaiba kura kipindi cha uchaguzi Mkuu?
Wapiga ramli chonganishi wa LUMUMBA MPYUUUUUMlamba asali, Mzee wa madili We wish you a good safari
Ni heshima kubwa sana kwa Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzani kinachoaminika hata na Wazungu haswa Waingereza BIG UP CHADEMA"...….PEOPLE'S......Kuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Ni heshima kubwa sana kwa Chadema kama chama kikuu cha upinzani Tanzani kinachoaminika hata na Wazungu haswa Waingereza BIG UP CHADEMA"...….PEOPLE'S......
Una uhakiki na ulichoandika hapa juu ! Au chuki Zako zimekutuma!??!Mlamba asali, Mzee wa madili We wish you a good safari
Acha Mh. Mbowe hivi sasa aishi kwa amani, kwa kuwa maisha yake ya kisiasa na ya viongozi wengine wa CDM yalikuwa hatarini mno katika kipindi cha awamu iliyopita.Kuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;
Asante sana[emoji818][emoji817]Usiruhusu nongwa ikutawale, utakufa maskini. Umaskini wa kwenu haukusababishwa na Mbowe wala CDM wala CCM. Ni uzembe wa ukoo wako.
Ni upumbavu uliokithiri kumcheka kilema, Mungu amekujalia wewe japo huenda kwenye ndugu zako (kama unao) wapo vilema nao unawacheka, kuwadharau na kuwakana kuwa ni nduguzo.Makengeza anaupiga mwingi.
Mfalme mbowe wa chadema.
Kumbe NDIO maana huachi kumtaja Kila Wakati, Roho inakuumaKuna taarifa kwamba Chadema imealikwa na chama cha Conservative cha Uingereza kuhudhuria mkutano wa kumchagua Waziri mkuu mpya wa nchi Hiyo
Inategemewa mwenyekiti nh Mbowe ndio ataongoza ujumbe wa Chadema nchini Uingereza
Updates;