Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Ila bado tarehe kufika,ikifika mbivu nambichi hadharani.Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Joined Yesterday!Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Daaaa ngoma inapigwa kuleee wanakayika na kudemka KizmMaelekezo toka lumumba hayo
Sio tatizo Je alichoandika kina Mashiko?....Mbowe must go.Joined Yesterday!
Nyumbani kwa festivalDaaaa ngoma inapigwa kuleee wanakayika na kudemka Kizm
HayaSio tatizo? Je alichoandika kina Mashiko?....Mbowe must go.
Mboga mboga wote hivi sasa wanademka juu ya CHADEMASio tatizo? Je alichoandika kina Mashiko?....Mbowe must go.
Mkuu bado unatetea kwamba hakuna mgogoro baina ya lissu na mbowe?Joined Yesterday!
HAKUNA na kuupandikiza mmechemka.Mkuu bado unatetea kwamba hakuna mgogoro baina ya lissu na mbowe?
Hakuna Mgogoro wote ni Wagombea wa Chadema, Kugombea haijawahi kuwa kesiMkuu bado unatetea kwamba hakuna mgogoro baina ya lissu na mbowe?
Hata Trump alikataa mdahalo wa pili na Kamala!Midahalo ni ya wazungu. Huku bado tunajikongoja.
Mdahalo kwa Mbowe ni kitu kizuri, hata akishindwa asiogope, itampa sifa kubwa kuwa anawakilisha democracy, akikacha atafanya upinzani uonekane kama CCM, na kuona kwamba mapinduzi yaa democracia tunayotaka hayana mshiko. Mbowe lazima ushiriki kama unataka Chadema iendelea kukua. Kukosa kwako Uenyekiti siyo mwisho wako wa kuwa jasiri/Mwamba. Kila zama zina mwamba wake.Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Alitambua vyombo vya habari vya marekani vikigeuka masnitch.Hata Trump alikataa mdahalo wa pili na Kamala!
Umejiunga JF jana.Team Lissu huku hakuna wapiga kura.Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Machinjio ya hela za WatanganyikaNyumbani kwa festival
Achana na kujiunga Jana jibu hojaUmejiunga JF jana.Team Lissu huku hakuna wapiga kura.