Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
- Thread starter
- #21
Ila ni muhimu sanaMidahalo ni ya wazungu. Huku bado tunajikongoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ni muhimu sanaMidahalo ni ya wazungu. Huku bado tunajikongoja.
Hili swali linaanza kupata majibu Je, CHADEMA wakubali au wasikubali Mdahalo wa Uenyekiti wa chama? Wenzenu CCM huwa hawakubali MidahaloHizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Safi sana kaka MayallaHili swali linaanza kupata majibu Je, CHADEMA wakubali au wasikubali Mdahalo wa Uenyekiti wa chama? Wenzenu CCM huwa hawakubali Midahalo
P
Na bado. Mtaropoka sana ili baada ya uchaguzi mpumzike huku wenzenu wakiimba "Mwamba Tuvushe"! Ahahahahaha!!!Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Hakuna cha kukacha , hana sabau ya mdahalo na msaliti! Unakuwa na mdahalo na mwungwana, not mhuniHizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Mbowe atapigwa kama mbwa koko, ni ngum kwake shiriki, ila mbowe yupo na kipaji cha kujibu maswali ,joto nikali mpaka team Mbowe wanalala na viatu.Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Heri nusu shari kuliko shari kamiliHizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
Wanaosema Mbowe anatumiwa na CCM wana hoja wasipuuzwe.Hili swali linaanza kupata majibu Je, CHADEMA wakubali au wasikubali Mdahalo wa Uenyekiti wa chama? Wenzenu CCM huwa hawakubali Midahalo
P
mdahalo wa mdomo na makelele ni kupoteza muda tuHizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance

Mbowe akimbie tu mpaka UchaguziIla ni muhimu sana
Hivi chama cha watu wanaokwepa mijadala kinaitwaje???Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance
🤣🤣🤣
Ukweli haujifichi.Hakuna Mgogoro wote ni Wagombea wa Chadema, Kugombea haijawahi kuwa kesi
ni upunguani kuwaza mdahalo.Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo.
Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya?
Happy New Year 2025 in advance