Freeman Mbowe kutoa sadaka Maalum ya Shukrani Usharika wa Nshala Machame, Maandalizi ya Mapokezi yake yaanza jimboni Hai

Yupo wapi Mwanahabari wa CHADEMA bwana Tumaini Makene?
Au alishaunga mkono juhudi maana vijana wa CDM kwa njaa (baadhi yao).
 
✌✌✌✌All the best
 
Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.
  1. Jimbo la kikanisa au uchaguzi?
  2. Maandiko na mafundisho yanasema sadaka na iwe siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…