Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Hv hii kauli maarufu aliianzisha Manara au yule dc msemaji wa Yanga wakati fulani? Inafurahisha na kumaliza utata mwingi sanaKila mtu ashinde mechi zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv hii kauli maarufu aliianzisha Manara au yule dc msemaji wa Yanga wakati fulani? Inafurahisha na kumaliza utata mwingi sanaKila mtu ashinde mechi zake.
✌✌✌✌All the bestTaarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.
Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.
Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.
View attachment 2150197
Chadema ilifika nyakati ngumu sana. Ilihitaji moyo wa jiwe kuendelea nayo.Yupo wapi Mwanahabari wa CHADEMA bwana Tumaini Makene?
Au alishaunga mkono juhudi maana vijana wa CDM kwa njaa (baadhi yao).
always freeJust like his name, he is a Freeman!!
Nafsi inamsuta kwa yale aliyofanyaYule mbunge wa CCM wa Hai sasaiv anambwerambwera tu
Kwani ubunge ule ulishawahi kuondoka kwa Mbowe?Mwaka 2025 Mhe. Mbunge wa Hai kwa sasa ajiandae kisaikolojia ubunge unarudi kwa Mbowe.
🤣🤣🤣Kila mtu ashinde mechi zake.
Jamaa bwana sijui yukoje. Watesi wanaumia sanajembe katika ubora wake utazani alikuwa dubai😄😄
ALIANZISHA Muhammed Hussein mchezaji wa Simba na captain msaidiziHv hii kauli maarufu aliianzisha Manara au yule dc msemaji wa Yanga wakati fulani? Inafurahisha na kumaliza utata mwingi sana
wameze wembeJamaa bwana sijui yukoje. Watesi wanaumia sana
Mkuu Msemaji wa Chama chetu kwa nn hayupo kuwa anatupa update? Tumaini MakeneAmina
Makene alikuwa shule , sasa sijajua kama kuna mengineMkuu Msemaji wa Chama chetu kwa nn hayupo kuwa anatupa update? Tumaini Makene
Tukio hutangazwa ili watu wengi wajitokeze zikiwemo kwaya mbali mbali , ila kinachofichwa ni kiasi kinachotolewa kwa ajili ya sadaka hiyoSadaka huwa inatangazwa?
Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.
Mtoa sadaka huyu ni muumini lakini pia ni mkazi wa Hai
- Jimbo la kikanisa au uchaguzi?
- Maandiko na mafundisho yanasema sadaka na iwe siri