Freeman Mbowe kutoka anguko la Simba "BOB JUNIOR" wa hifadhi ya Serengeti

Freeman Mbowe kutoka anguko la Simba "BOB JUNIOR" wa hifadhi ya Serengeti

Nandagala One

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
1,913
Reaction score
2,286
Wakuu Salam.

Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu.

Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na vijana wa familia yake.

Alipendelea utawala wa kiimla, na Kujiona Serengeti ni yeye na yeye Serengeti katika muktadha wa utawala wa wanyama.

Hakupenda mashauriano na simba wenzake, kitu kilichosababisha simba wenzake kuanza kujipanga kwa lengo la kumuondoa madarakani himaya ya Serengeti.

Mpaka bob junior anakufa kifo katili, na Simba vijana aliowalea na kuwa gloom mwenyewe , alishuhudia majaribio kama 10 au 9 ya kumuondoa.

Jaribio la mwisho lilifaulu kwa kumlarua vibaya,akiachwa na majeraha ya kutisha mwili mzima.

Simulizi la Bob Junior Simba halina tofauti na sakata la Umwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe na uongozi wake ndani ya CHADEMA.

Anguko la Bob Junior ni la kisiasa katika himaya ya wanyama, na anguko linalotarajiwa la Mbowe kutoka madarakani ni la kisiasa pia katika muktadha wa siasa za binadamu, kwa taasisi ya CHADEMA.

Mbowe anataka kutolewa madarakani baada ya kukwepa majaribio mengi.

1.Jaribio la Chacha Zakayo Wangwe.

2.Jaribio la ZITO Kabwe na kitila Mkumbo.

3. Nia thabiti ya Tundu Lissu, Heche na kanda mbalimbali ambazo zinampinga kama Bob Junior alivyokuwa anapingwa hifadhini na Simba wenzake.

Nionavyo kama Bob Junior alivyoanguka kisiasa na kupata MAUTI MWILINI ,ndivyo Mbowe anavyokwenda Kuanguka KISIASA TU BILA MAUTI YA MWILI.

Kama Mbowe anafikiri na kutafakari sawa, kwa heshima yake, kwa CHADEMA na Watanzania,akae pembeni kwa heshima, vinginevyo atakutana na sakata kama la Simba Bob Junior.

Mimi ni mwanafasihi , nimeamua kutumia simulizi la kweli la Bob Junior kumkumbusha Freeman Mbowe kuwa zama zake na wakati huu ni sawasawa na Zama alizopitia Bob Junior.

Tchao.

Nandagala One,kwa Sasa "CHAKO NI CHAKO DODOMA"
 

Attachments

  • WhatsApp-Image-2023-03-15-at-5.47.11-PM-768x886.jpeg
    WhatsApp-Image-2023-03-15-at-5.47.11-PM-768x886.jpeg
    97.8 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1736451630055.jpg
    FB_IMG_1736451630055.jpg
    143.5 KB · Views: 4
Wakuu Salam.
Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu.

Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na vijana wa familia yake.
Alipendelea utawala wa kiimla, na Kujiona Serengeti ni yeye na yeye Serengeti katika muktadha wa utawala wa wanyama.

Hakupenda mashauriano na simba wenzake, kitu kilichosababisha simba wenzake kuanza kujipanga kwa lengo la kumuondoa madarakani himaya ya Serengeti.

Mpaka bob junior anakufa kifo katili, na Simba vijana aliowalea na kuwa gloom mwenyewe , alishuhudia majaribio kama 10 au 9 ya kumuondoa.

Jaribio la mwisho lilifaulu kwa kumlarua vibaya,akiachwa na majeraha ya kutisha mwili mzima.

Simulizi la Bob Junior Simba halina tofauti na sakata la Umwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe na uongozi wake ndani ya CHADEMA.

Anguko la Bob Junior ni la kisiasa katika himaya ya wanyama, na anguko linalotarajiwa la Mbowe kutoka madarakani ni la kisiasa pia katika muktadha wa siasa za binadamu, kwa taasisi ya CHADEMA.

Mbowe anataka kutolewa madarakani baada ya kukwepa majaribio mengi.

1.Jaribio la Chacha Zakayo Wangwe.

2.Jaribio la ZITO Kabwe na kitila Mkumbo.
3.nia thabiti ya Tundu Lissu, Heche na kanda mbalimbali ambazo zinampinga kama Bob Junior alivyokuwa anapingwa hifadhini na Simba wenzake.

Nionavyo kama Bob Junior alivyoanguka kisiasa na kupata MAUTI MWILINI ,ndivyo Mbowe anavyokwenda Kuanguka KISIASA TU BILA MAUTI YA MWILI.

Kama Mbowe anafikiri na kutafakari sawa, kwa heshima yake, kwa CHADEMA na Watanzania,akae pembeni kwa heshima, vinginevyo atakutana na sakata kama la Simba Bob Junior.

Mimi ni mwanafasihi , nimeamua kutumia simulizi la kweli la Bob Junior kumkumbusha Freeman Mbowe kuwa zama zake na wakati huu ni sawasawa na Zama alizopitia Bob Junior.

Tchao.

Nandagala One,kwa Sasa "CHAKO NI CHAKO DODOMA"
Wandengereko twasemaa,chikio la kufaa halichikiii dawaa.
 
Mbowe ni kama amewehuka, haamini anachokiona kupingwa kila mahali. Hivyo anatumia nguvu nyingi na mihemuko kuwaonesha wote wanaompinga yeye ni Mbowe.

Anapaswa kutambua mwisho wake umefika, aondoke mwenyewe kwa heshima au aondolewe kwa aibu hata kama sio kupitia uchaguzi huu.
 
Wakuu Salam.
Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu.

Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na vijana wa familia yake.
Alipendelea utawala wa kiimla, na Kujiona Serengeti ni yeye na yeye Serengeti katika muktadha wa utawala wa wanyama.

Hakupenda mashauriano na simba wenzake, kitu kilichosababisha simba wenzake kuanza kujipanga kwa lengo la kumuondoa madarakani himaya ya Serengeti.

Mpaka bob junior anakufa kifo katili, na Simba vijana aliowalea na kuwa gloom mwenyewe , alishuhudia majaribio kama 10 au 9 ya kumuondoa.

Jaribio la mwisho lilifaulu kwa kumlarua vibaya,akiachwa na majeraha ya kutisha mwili mzima.

Simulizi la Bob Junior Simba halina tofauti na sakata la Umwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe na uongozi wake ndani ya CHADEMA.

Anguko la Bob Junior ni la kisiasa katika himaya ya wanyama, na anguko linalotarajiwa la Mbowe kutoka madarakani ni la kisiasa pia katika muktadha wa siasa za binadamu, kwa taasisi ya CHADEMA.

Mbowe anataka kutolewa madarakani baada ya kukwepa majaribio mengi.

1.Jaribio la Chacha Zakayo Wangwe.

2.Jaribio la ZITO Kabwe na kitila Mkumbo.
3.nia thabiti ya Tundu Lissu, Heche na kanda mbalimbali ambazo zinampinga kama Bob Junior alivyokuwa anapingwa hifadhini na Simba wenzake.

Nionavyo kama Bob Junior alivyoanguka kisiasa na kupata MAUTI MWILINI ,ndivyo Mbowe anavyokwenda Kuanguka KISIASA TU BILA MAUTI YA MWILI.

Kama Mbowe anafikiri na kutafakari sawa, kwa heshima yake, kwa CHADEMA na Watanzania,akae pembeni kwa heshima, vinginevyo atakutana na sakata kama la Simba Bob Junior.

Mimi ni mwanafasihi , nimeamua kutumia simulizi la kweli la Bob Junior kumkumbusha Freeman Mbowe kuwa zama zake na wakati huu ni sawasawa na Zama alizopitia Bob Junior.

Tchao.

Nandagala One,kwa Sasa "CHAKO NI CHAKO DODOMA"
Wewe Misomisondo umepigaje hapo? Yaani kwenye mshono kabisa.
 

Attachments

  • IMG-20241214-WA0050.jpg
    IMG-20241214-WA0050.jpg
    9.9 KB · Views: 3
Mbowe ni kama amewehuka, haamini anachokiona kupingwa kila mahali. Hivyo anatumia nguvu nyingi na mihemuko kuwaonesha wote wanaompinga yeye ni Mbowe.

Anapaswa kutambua mwisho wake umefika, aondoke mwenyewe kwa heshima au aondolewe kwa aibu hata kama sio kupitia uchaguzi huu.
Ni kweli kabisa, kafanya kazi kubwa sana kukijenga chama, ila wakati huu si wake umemtupa mkono!!!
 
Wakuu Salam.
Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu.

Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na vijana wa familia yake.
Alipendelea utawala wa kiimla, na Kujiona Serengeti ni yeye na yeye Serengeti katika muktadha wa utawala wa wanyama.

Hakupenda mashauriano na simba wenzake, kitu kilichosababisha simba wenzake kuanza kujipanga kwa lengo la kumuondoa madarakani himaya ya Serengeti.

Mpaka bob junior anakufa kifo katili, na Simba vijana aliowalea na kuwa gloom mwenyewe , alishuhudia majaribio kama 10 au 9 ya kumuondoa.

Jaribio la mwisho lilifaulu kwa kumlarua vibaya,akiachwa na majeraha ya kutisha mwili mzima.

Simulizi la Bob Junior Simba halina tofauti na sakata la Umwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe na uongozi wake ndani ya CHADEMA.

Anguko la Bob Junior ni la kisiasa katika himaya ya wanyama, na anguko linalotarajiwa la Mbowe kutoka madarakani ni la kisiasa pia katika muktadha wa siasa za binadamu, kwa taasisi ya CHADEMA.

Mbowe anataka kutolewa madarakani baada ya kukwepa majaribio mengi.

1.Jaribio la Chacha Zakayo Wangwe.

2.Jaribio la ZITO Kabwe na kitila Mkumbo.
3.nia thabiti ya Tundu Lissu, Heche na kanda mbalimbali ambazo zinampinga kama Bob Junior alivyokuwa anapingwa hifadhini na Simba wenzake.

Nionavyo kama Bob Junior alivyoanguka kisiasa na kupata MAUTI MWILINI ,ndivyo Mbowe anavyokwenda Kuanguka KISIASA TU BILA MAUTI YA MWILI.

Kama Mbowe anafikiri na kutafakari sawa, kwa heshima yake, kwa CHADEMA na Watanzania,akae pembeni kwa heshima, vinginevyo atakutana na sakata kama la Simba Bob Junior.

Mimi ni mwanafasihi , nimeamua kutumia simulizi la kweli la Bob Junior kumkumbusha Freeman Mbowe kuwa zama zake na wakati huu ni sawasawa na Zama alizopitia Bob Junior.

Tchao.

Nandagala One,kwa Sasa "CHAKO NI CHAKO DODOMA"
Acha kumtisha kashasema haondoki hata kwa damu
 
Dr.Slaa anasema Mbowe ajiondoe kwenye kinyang'anyiro laa sivyo anaenda kuaibika mbele ya vyombo vya habari vya ndani na nje.😄

Ila mkuu nisiache kukupa pongezi. Ulimtetea sana mwamba tukisema apumzike.

Ulipofika wakati hukukupesa macho.

Kwa hilo nisiache kukupa maua yako.
 
Wakuu Salam.
Bob Junior Simba Mtawala wa Serengeti hifadhi ya Serengeti ambaye ambaye alitawala kwa miaongo isiyopingua mitatu.

Bob junior alivuma kwa utawala wa kibabe ndani ya hifadhi yeye na vijana wa familia yake.
Alipendelea utawala wa kiimla, na Kujiona Serengeti ni yeye na yeye Serengeti katika muktadha wa utawala wa wanyama.

Hakupenda mashauriano na simba wenzake, kitu kilichosababisha simba wenzake kuanza kujipanga kwa lengo la kumuondoa madarakani himaya ya Serengeti.

Mpaka bob junior anakufa kifo katili, na Simba vijana aliowalea na kuwa gloom mwenyewe , alishuhudia majaribio kama 10 au 9 ya kumuondoa.

Jaribio la mwisho lilifaulu kwa kumlarua vibaya,akiachwa na majeraha ya kutisha mwili mzima.

Simulizi la Bob Junior Simba halina tofauti na sakata la Umwenyekiti CHADEMA Freeman Mbowe na uongozi wake ndani ya CHADEMA.

Anguko la Bob Junior ni la kisiasa katika himaya ya wanyama, na anguko linalotarajiwa la Mbowe kutoka madarakani ni la kisiasa pia katika muktadha wa siasa za binadamu, kwa taasisi ya CHADEMA.

Mbowe anataka kutolewa madarakani baada ya kukwepa majaribio mengi.

1.Jaribio la Chacha Zakayo Wangwe.

2.Jaribio la ZITO Kabwe na kitila Mkumbo.
3.nia thabiti ya Tundu Lissu, Heche na kanda mbalimbali ambazo zinampinga kama Bob Junior alivyokuwa anapingwa hifadhini na Simba wenzake.

Nionavyo kama Bob Junior alivyoanguka kisiasa na kupata MAUTI MWILINI ,ndivyo Mbowe anavyokwenda Kuanguka KISIASA TU BILA MAUTI YA MWILI.

Kama Mbowe anafikiri na kutafakari sawa, kwa heshima yake, kwa CHADEMA na Watanzania,akae pembeni kwa heshima, vinginevyo atakutana na sakata kama la Simba Bob Junior.

Mimi ni mwanafasihi , nimeamua kutumia simulizi la kweli la Bob Junior kumkumbusha Freeman Mbowe kuwa zama zake na wakati huu ni sawasawa na Zama alizopitia Bob Junior.

Tchao.

Nandagala One,kwa Sasa "CHAKO NI CHAKO DODOMA"

Mwamba sikio la kufa
 
Back
Top Bottom