Nyakati hizi za muendelezo wa siasa za kihuni na Kibabe za CCM ni Lissu Heche combination ndio tunaihitaji.
Kweli, kweli tupuMwamba sikio la kufa
Ametoka Ikulu kuongea na Raisi lakini akiulizwa na Viongozi wenzake wameongea nini anasema ni siri yake...π€
Abrakadabla mchezo wa wajanjaAmetoka Ikulu kuongea na Raisi lakini akiulizwa na Viongozi wenzake wameongea nini anasema ni siri yake...π€
Asali noma sana, hasa asali ya Nyuki wadogo!!π€£π€£π€£ππAmetoka Ikulu kuongea na Raisi lakini akiulizwa na Viongozi wenzake wameongea nini anasema ni siri yake...π€
Anatuficha nini? Asali?
ππΌππΌIla mkuu nisiache kukupa pongezi. Ulimtetea sana mwamba tukisema apumzike.
Ulipofika wakati hukukupesa macho.
Kwa hilo nisiache kukupa maua yako.
Ametoka Ikulu kuongea na Raisi lakini akiulizwa na Viongozi wenzake wameongea nini anasema ni siri yake...π€
Anatuficha nini? Asali?
Kapewa RUSHWA ili WanaCHADEMA waendelee kutekwa kuteswa na kuuwawa.Huko ndiko anajinasibu nako kuwa mtunza siri za vikao
Kapewa RUSHWA ili WanaCHADEMA waendelee kutekwa kuteswa na kuuwawa.
From that π to thisπ