Freeman Mbowe mishale mingi lakini hachoki, hapoi. Je ana mrithi?

Freeman Mbowe mishale mingi lakini hachoki, hapoi. Je ana mrithi?

Mbowe ameifanya kazi yake ya kukijenga chama na kukifanya kiaminiwe na wananchi kwa uwezo mkubwa, anastahili pongezi, hasa wakati huu akielekea kubwaga manyanga.
 
Ya Chadema waachieni Chadema wenyewe nyinyi hayawahusu mbona ramuli chonganishi?
 
Chama cha ukoo usitegemee atatokea mrithi nje na ukoo na akitokea Basi atakabidhiwa chama kikiwa hakina kitu hata kimoja maana mali zote zina majina ya watu binafsi
 
Shamba la Jirani linakuhusu nini wewe mpitanjia????
Chama cha ukoo usitegemee atatokea mrithi nje na ukoo na akitokea Basi atakabidhiwa chama kikiwa hakina kitu hata kimoja maana mali zote zina majina ya watu binafsi
 
Husika na yanayokuhusu huko kwenu CCM ambapo Mali za Umma kama viwanja vyote vimebadilishwa umiliki kitapeli kuinufaisha CCM,

Chanel 10 Magu juz ndo alitusanua ni Mali ya CCM wakati muda wote Nanaki alikimiliki kama chake binafsi.


Kwani wewe ku reply hapa ilikua inakuhusu nini
 
Husika na yanayokuhusu huko kwenu CCM ambapo Mali za Umma kama viwanja vyote vimebadilishwa umiliki kitapeli kuinufaisha CCM,

Chanel 10 Magu juz ndo alitusanua ni Mali ya CCM wakati muda wote Nanaki alikimiliki kama chake binafsi.
Sijasoma comment yako umeandika ndefu sana alafu najua ni utumbo tu
 
John Heche huyu ndiye Mwenyekiti bora ajaye baada ya Mbowe sina mashaka naye hata kidogo anajiamini si muoga tumwamini.
 
Mbowe ni mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambapo amedumu madarakani kwa muda mrefu akijaribu kumfukuzia Baba wa Taifa kwa muda ambao aliiongoza TANU hatimaye CCM tangu uhuru hadi alipoamua kung'atuka kwa hiyari yake.

Ingawa tuampiga mishale mingi bwana Mbowe lakini ameendelea kuwa nguzo ya CHADEMA hasa kuelekea kwenye mitaguso ya kisiasa. Pamoja na kufanyiwa hila za kihuni na CCM kuitumia NHC kuporomosha biashara zake ambazo amezirithi kutoka kwa baba yake.

Hivi karibuni alikabiliwa na kesi ya kubumba ya ugaidi ambapo kupitia ushahidi uliotolewa mahakamani, sisi kama jamii tulifunguka macho kugundua UKATILI mkubwa unaofanywa na CCM kupitia jeshi la polisi ambao wanatumika kudhibiti upinzani wa kisiasa dhidi ya CCM

Swali ambalo kama jamii ya wadadisi wa siasa za Tanzania tunapaswa kupata majibu ni kuhusu succession plan, kwamba baada ya yeye ameandaliwa nani kupokea kijiti kuweza kuipeleka CHADEMA kwenye kufanikisha malengo yake ya kuongoza dola kwa manufaa ya Watanzania?

Kiongozi makini ni yule ambaye anaongoza huku akiandaa watu wanaoweza kuongoza dira na malengo ya taasisi.

Uzi huu siyo sehemu ya shinikizo la kumtaka ang'oke madarakani
Mwamba mbowe.
 
CDM ikipata Dola ndo utakuwa Wakt fasaha wa Mbowe kung'atuka nafasi ya mkt.

Mf Zittow kabwe angepewa uenyekiti enzi zile analeta chokochoko, CDM ingeshakuwa kama NLD.

Narudia kusema Ili Mbowe ang'atuke, ahakikishe CDM inashika DOLA kwanza.
Yaani kama Zitto wasingemshtukia Chadema ingekuwa Chauma
 
Back
Top Bottom