Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
AminaMungu ibariki CHADEMA
Ukweli pekee ndio utakaowaweka huru , msifiche uchafu , kama kuna jambo liwekeni waziSawa komredi.....
Mashauriano yenyewe yamehusisha pia YALE MANENO YAKE YA tuhuma za UKABILA dhidi yake na watu wa Kaskazini ?!!!!
#TaifaLetuNiMoja
#WanasiasaWaacheMbelekoYaUkabila
Heche tutaungana naye TarimeBado naona unyonge... Yuko wapi Kamanda Heche? Wale makamanda wa ukweli mpo wapi?
RIP camanda Alfonce Mawazo
Mwamba Mbowe ameingia Bunda Mkoani Mara katika Mkakati unaotikisa wa Operesheni Haki , amelakiwa na maelfu ya wanachama na viongozi wa Chadema wa eneo hilo na baadaye akaongoza kikao cha Kimkakati cha mashauriano .
View attachment 1802937View attachment 1802938View attachment 1802939View attachment 1802940
nyie wachaga na tapeli lenu hilo lenye makengeza mnalitembeza la nn jitu jizi likabilaUkweli pekee ndio utakaowaweka huru , msifiche uchafu , kama kuna jambo liwekeni wazi
hana akili huyu mbumbumbu Mr MaigizoMkabila sana huyu mwenyekiti wetu Mbowe. Ni mwemyekiti lakini leo nimemdharau sana. Nimeanalyse ile discourse, stylistically anamaanisha chama kianze harakati za kutetea wachaga dhidi ya wasukuma! Sijui wanachama wasukuma walivyoipokea hiyo political discourse ya mwenyekiti! Sijui, naweza andika mengi sana ila itoshe tu kusema kuwa nimeghadhabishwa sana na maneno ya mwenyekiti. Ukabila, uoga na unafiki wa mwenyekiti umemkosesha sifa ya kuwa kiongozi wa taasisi yeyote ya kitaifa. Labda katiba ya chama ibadilishwe itamke bayana kuwa ni chama cha wachaka! Ovyo kabisa.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Faru John bhana eti amevaa barakoa wakati ameshachomwa chanjo!! Halafu amevaa pekee yake tu. Vipi bado anaendelea na sera zake za ukabila.Mwamba Mbowe ameingia Bunda Mkoani Mara katika Mkakati unaotikisa wa Operesheni Haki , amelakiwa na maelfu ya wanachama na viongozi wa Chadema wa eneo hilo na baadaye akaongoza kikao cha Kimkakati cha mashauriano .
View attachment 1802937View attachment 1802938View attachment 1802939View attachment 1802940
Hana akili huyu mkabila huyu yaani zero brain DJ I CANT BREATHEFaru John bhana eti amevaa barakoa wakati ameshachomwa chanjo!! Halafu amevaa pekee yake tu. Vipi bado anaendelea na sera zake za ukabila.
Chadema haipokei ruzukuMatapeli wanakula ruzuku
Mungu ibariki CHADEMA
Mungu ibariki TanzaniaTunaanza kuiona tena demokrasia.....
People's power.
Mungu akubariki sanaAMEN Mkuu ๐๐พ๐๐พ๐๐พ Naipenda sana Chadema sikujua kama naweza kukipenda chama cha kisiasa kiasi hiki.