Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane

Naona ccm.mnakwepa lawama.mmejisahaulisha kwa hii nchi watu wengi wameshatekwa na kuteswa.sijawahi kusikia kwanba lawama apewe bosi wake.ccm na serikali yenu mnajishtukia.sisi hatujamuhisi MTU.mbona mnatoa lawama kwa mbowe.hizo ni dalili za MTU kuovu.kufanya kosa yeye na kusingizia wenzake
 
Ben kajichimbia,anatayarisha mchoro wa operesheni kata funua,jinsi ya kutumia sime na mapanga kwa makamanda
 
hakika kuna tatizo. Wakati wanachana wengine wa CHADEMA na hata Gazeti la Tanzania Daima wakithibitisha kuwa Ben alikuwa Mkurugenzi wa Sera na Utafiti wa CHADEMA, GODLITSEN Malisa, Kada maarufu wa CHADEMA ambaye naye alisemekana amepotea sambamba na Ben anaibuka na kusema tuipuuze taarifa ya Kuwa Ben alikuwa mkurugenzi wa Sera na Utafiti na kwamba taarifa hiyo ni ya uongo. Malisa anataka kutuambia nini? Kuna tatizo hapo. Mwanachama mwingine wa CHADEMA maarufu katika mtandao wa kijamii wa facebook, Kwinyara Kwintara Kwinyara anaandika shutuma nzito kwenye ukurusa wake wa facebook akiutuhumu uongozi wa CHADEMA kwa jinsi usivyochukulia kwa uzito suala la Ben, halafu kutaka kuonesha kuwa ataeleweka vibaya kwa viongozi wake anarudi anasema akaunti yake imeingiliwa. Hapo napo kuna tatizo. Malisa na Kwinyara Kwintara Kwinyara wote ni watu wako karibu sana MBOWE. Ukiunganisha haya ya Malisa na Kwinya na hii mada hakika, nadiriki kusema kuna giza totoro. Tumuombe tu Mungu aepushe haya tunayoyawaza. Tunaweza kutofautiana kiitikadi lakini linapokuja suala la uhai wa binadamu lazima muungane katika sintofahamu ya kila aina, sote ni wana wa adam.
 
Teh Teh hii ni mbinu ya chadema ya kutaka serikali ionekane imemteka kumbe wamemficha au kajiteka..
Tokea serikali ifungie gazeti la mwanahalisi kwa kufichua trend ya utekwaji wa ulimboka sina imani nayo!Yaani mtu anakupa taarifa,mpaka mawasiliano yaliyokuwa yanafanyika kati ya ulimboka na watekaji halafu unaamua kufungia gazeti badala ya kufuatilia taarifa zile!Shame
 
hakika kuna tatizo. Wakati wanachana wengine wa CHADEMA na hata Gazeti la Tanzania Daima wakithibitisha kuwa Ben alikuwa Mkurugenzi wa Sera na Utafiti wa CHADEMA, GODLITSEN Malisa, Kada maarufu wa CHADEMA ambaye naye alisemekana amepotea sambamba na Ben anaibuka na kusema tuipuuze taarifa ya Kuwa Ben alikuwa mkurugenzi wa Sera na Utafiti na kwamba taarifa hiyo ni ya uongo. Malisa anataka kutuambia nini? Kuna tatizo hapo. Mwanachama mwingine wa CHADEMA maarufu katika mtandao wa kijamii wa facebook, Kwinyara Kwintara Kwinyara anaandika shutuma nzito kwenye ukurusa wake wa facebook akiutuhumu uongozi wa CHADEMA kwa jinsi usivyochukulia kwa uzito suala la Ben, halafu kutaka kuonesha kuwa ataeleweka vibaya kwa viongozi wake anarudi anasema akaunti yake imeingiliwa. Hapo napo kuna tatizo. Malisa na Kwinyara Kwintara Kwinyara wote ni watu wako karibu sana MBOWE. Ukiunganisha haya ya Malisa na Kwinya na hii mada hakika, nadiriki kusema kuna giza totoro. Tumuombe tu Mungu aepushe haya tunayoyawaza. Tunaweza kutofautiana kiitikadi lakini linapokuja suala la uhai wa binadamu lazima muungane katika sintofahamu ya kila aina, sote ni wana wa adam.
Ukweli utakuwa wazi,hii ni mihemko tu!Itapita
 
Tokea serikali ifungie gazeti la mwanahalisi kwa kufichua trend ya utekwaji wa ulimboka sina imani nayo!Yaani mtu anakupa taarifa,mpaka mawasiliano yaliyokuwa yanafanyika kati ya ulimboka na watekaji halafu unaamua kufungia gazeti badala ya kufuatilia taarifa zile!Shame
Hahahahahaaaaaaaaaa. Jadili hoja kamanda
 
Kama yupo salama basi awasiliane na familia yake.
Inasikitisha sana aiseeeee. Familia yake wanahangaika kwa jumq moja sasa na chama kimekaa kimyaaaaaa!
 
Walijiamini sana,badala ya kumteka na kwenda kummaliza mafisango mafichoni,wao wakaona wamtoe utumbo hadharani
 
Ndio hoja nilipoiweka,kwenye mambo ya utekaji na utesaji serikali imeshanyoshewa vidole mara nyingi!
Chadema mtafuteni mchawi katika hili sakata la BEN na siyo vinginevyo. Hizi sarakasi zinazopigwa na makada wa CHADEMA siyo za heri, porojo za kutaka kuingiza serikali, mara CCM , lumumba ni ujinga ambao hata mtoto mdogo atawadharau. Msaidizi wa Mwenyekiti anapotea bila Mwenyekiti kujua wiki tatu? prooooo.
 
Ukweli utakuwa wazi,hii ni mihemko tu!Itapita
waharakishe maana sasa inayoumia ni familia, akina Mbowe wako majuu wanakula bata. Nakumbuka hata Chacha Wangwe alivyofariki Mbowe alikwenda South Afrika kula Bata, kwake imekuwa kama kafara
 
Ndio hoja nilipoiweka,kwenye mambo ya utekaji na utesaji serikali imeshanyoshewa vidole mara nyingi!
Safari hii anayenyooshewa vidole ni mwenyekiti wako Mbowe
 
waharakishe maana sasa inayoumia ni familia, akina Mbowe wako majuu wanakula bata. Nakumbuka hata Chacha Wangwe alivyofariki Mbowe alikwenda South Afrika kula Bata, kwake imekuwa kama kafara
Halafu Mbowe ana kawaida ya kutengeneza matukio na kwenda kujificha ng'ambo. Rejea alipoenda kusherehekea South Afrika baada ya kifo cha Chacha Wangwe
 
Tokea serikali ifungie gazeti la mwanahalisi kwa kufichua trend ya utekwaji wa ulimboka sina imani nayo!Yaani mtu anakupa taarifa,mpaka mawasiliano yaliyokuwa yanafanyika kati ya ulimboka na watekaji halafu unaamua kufungia gazeti badala ya kufuatilia taarifa zile!Shame
Mkiendelea kuwa mazwazwa wa kujifika kwenye kivuli cha kwamba ni serikali hakika mtakwisha, waulizeni Zitto Kabwe, Chacha Wangwe na wengine wengine. Ulizeni kwanini wamachame wanaitwa WAPALESTINA.
 
Back
Top Bottom