Mmh! Mbowe atakuwa anapozwa na hawa mbogamboga si bure. Anakubalije kushiriki uchaguzi kwa tume hii?Duh
Uchaguzi kwanza Katiba mpya baadae
Wanasiasa ni Watu hatari sana 🐼😂
Hivi mkuu unaamini hili shinikizo la maandamano yaliyofanyika mikoa isiyozidi mitano lingetosha kutupatia katiba mpya?..hoja ya Katiba Mpya na Tume Huru haijapatiwa majibu.
..tujiulize kwanini serikali ya Samia na Ccm imegoma kuwapatia Watanzania tume huru na katiba mpya?
Hivi mkuu unaamini hili shinikizo la maandamano yaliyofanyika mikoa isiyozidi mitano lingetosha kutupatia katiba mpya?
Sawa, tuendelee kusubiri. Siku moja watatupatia hiyo katiba na tume huru...sioni sababu ya kuwa na mifarakano au mashinikizo.
..Nchi inahitaji Katiba Mpya na Tume Huru ili tuweze kujiendesha kistaarabu.
Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa
Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Safi CDM!Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.
"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"
Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.
Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.
"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."
Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Hii imekaa utamuh!Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.
"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"
Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.
Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.
"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."
Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Umesahahau kuwa cdm ndi wanapopoma kupitia wasemaji wawili maarufuHii imekaa utamuh!
Swala la katiba mpya like palepale lilishapigiwa kelele pamoja na Tume huru!.
Ni jambo lisilopingika.
Ni vyema sawia na muda uliobaki ni muhimu Chama kikajengeka kwa kupata viongozi wa chini kwa utayari wa kwenda 2025.
Mnaobeza ni wale manyumbu wa Buku 7! Endeleeni kupopoma!.
Tuliza mshono weyee, ulifuatilia mkutano wa chadema na waandishi wa habari kule mtwara??? Usifanye kila mtu akuone wee mbwege,Mbowe kaagiza, hakuna cha kamati kuu wala nini. Angesema kamati kuu inaagiza.
Nyumbu hovyo kabisa.
Siasa ni mapambano na mapambano hutakiwi kukata tamaa CDM hawapaswi kususa uchaguzi kwani wakisusa uchaguzi watawapa mserereko CCM na wanasesere wake kujinafasiKama ndivyo walivyokubaliana chamani hakuna tatizo, lakini kwa tahadhari tu, isijekutokea baada ya matokeo ya 2024 na 2025 zikaanza lawama za kuibiwa kura, huo utakuwa usanii.
Binafsi nionavyo ubaya wa hii kauli ya Mbowe, ni kama vile wanacheza ngoma ya CCM either kwa kujua au kutokujua, hasa nikikumbuka Samia alivyowahi kusema kule ndani kwao hakukaliki...
Sasa kama Chadema wameamua kushiriki uchaguzi naona ni kama vile wamemua wenyewe kujipeleka kwenye mdomo wa mamba kwa tamaa za kupata majimbo, siamini hata kidogo kama wanafikiria kwenda ikulu.
CCM wanaweza kuchakachua matokeo makusudi wakijua lawama zitarudi kwa waliochakachuliwa, yes, kama tunazijua tabia zao miaka yote kwanini tukawaamini na kushiriki uchaguzi?
Kama Chadema wangeweka mkazo kwenye Katiba mpya na Tume Huru kwa namna tuliyoona kwenye yale maandamano, naamini wangefanikiwa kupata kimojawapo kama sio vyote.
Bahati mbaya maridhiano yakageuzwa utapeli na CCM wanayoiamini sasa kwa kutaka kushiriki uchaguzi bila tume huru.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kinana, Jokate na Makamba wamesema utakuwa Huru na Haki kwa kuwa wanajiamini
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu 2025 utakuwa wa kufa na kupona kwa kuwa wataweka wagombe kila nafasi itakayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Mbowe ameyasema hayo leo mach 8,2024 Jijini Dodoma kwenye Baraza la wanawake CHADEMA katika maadhimisho ya
Wananchi gani? Acheni wizi na uporaji wa kura wananchi wapate viongozi wenye uwezoKumekucha kumekuchwa
Ni muda wa Kuyamwaga maneno Yoooote alafu Wananchi wanawabwaga kama vile hawawajui kabisa.
Hakuna kipindi kitamu kuliko vyote kama cha Kampeni za Uchaguzi