Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema ni kweli kwenye uchaguzi huu watanyukana lakini baada ya kunyukana, watakutana kwenye boksi la kura kisha baada ya hapo watapeana mikono.
Mbowe ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo.
Soma, Pia:
- Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
- Freeman Mbowe: Tutanyukana lakini hatutakigawa Chama, Hiki si Chama cha Mbowe, sio cha Lissu wala Mnyika, ni cha Watanzania wengi
Mbowe ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wa baraza hilo.
Soma, Pia:
- Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
- Freeman Mbowe: Tutanyukana lakini hatutakigawa Chama, Hiki si Chama cha Mbowe, sio cha Lissu wala Mnyika, ni cha Watanzania wengi