Freeman Mbowe ni mgombea urais sahihi kwa tiketi ya CHADEMA 2025. Watanzania tumuunge mkono

Freeman Mbowe ni mgombea urais sahihi kwa tiketi ya CHADEMA 2025. Watanzania tumuunge mkono

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20241223_183424.jpg

Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
 
Chama kina muhitaji na kimeshampa ombi rasmi asiyemtaka kura zitaamua.
Mtego kwa Mbowe huo

Lisu baada ya kuona hela hamna kwenye chama kaona amrudishe Mbowe ili mbowe alete pesa za uchaguzi

Anachorudisha ni pesa .Hicho cheo Lisu ndio alikitaka kugombea Na hasira zake zote kwa Mbowe ilikuwa sababu ya Mbowe kutotaka Lisu agombee uraisi

Lisu sasa katema bungo ukata wa pesa ameona ugombea uraisi maji marefu kaamua kunywea kwenda kugombea ubunge tu kwao

Lisu Kashinda uenyekiti kashindwa ugombea uraisi kakubali kunyoosha mikono juu kwa Mbowe

Msingi wa ugomvi wao ulikuwa ugombea uraisi sio uenyekiti wa Chadema

Kwa hiyo twaweza sema vita ya Lisu na Mbowe kwenye ugombea uraisi Lisu kashindwa kwa knock out na Mbowe
 
Mtego kwa Mbowe huo

Lisu baada ya kuona hela hamna kwenye chama kaona amrudishe Mbowe ili mbowe alete pesa za uchaguzi

Anachorudisha ni pesa .Hicho cheo Lisu ndio alikitaka kugombea Na hasira zake zote kwa Mbowe ilikuwa sababu ya Mbowe kutotaka Lisu agombee uraisi

Lisu sasa katema bungo ukata wa pesa ameona ugombea uraisi maji marefu kaamua kunywea kwenda kugombea ubunge tu kwao

Lisu Kashinda uenyekiti kashindwa ugombea uraisi kakubali kunyoosha mikono juu kwa Mbowe

Msingi wa ugomvi wao ulikuwa ugombea uraisi sio uenyekiti wa Chadema

Kwa hiyo twaweza sema vita ya Lisu na Mbowe kwenye ugombea uraisi Lisu kashindwa kwa knock out na Mbowe
Lissu amfanyii maamuzi Mbowe Lissu is nobody kwa Mbowe
 
Wachaga walikulia mke wako,mbona una chuki nao sana?
Usichukie watu kwa makabila yao,ridhiki anatoa Mungu,ingekua unatoa wewe ungeua wachaga wote hakiyanani 🙆

Ila huo uwezo ndio huna
Uenyekiti Chadema mmemtoa Kwa mbinde ndio tumpe Uamiri Jeshi mkuu? 🐼

Soma history dogo Mchagga ukimpa Uongozi kumuondoa ni hadi Serikali iingilie Kati kama Kwa James Mbatia

Lyatonga 😄
 
Back
Top Bottom