Freeman Mbowe ni mgombea urais sahihi kwa tiketi ya CHADEMA 2025. Watanzania tumuunge mkono

Freeman Mbowe ni mgombea urais sahihi kwa tiketi ya CHADEMA 2025. Watanzania tumuunge mkono

View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Tumia ile I'd yako iliyozoeleka ya uçhawa kwa mwenyekiti.
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Wewe sio mwanachadema ..tupishe hebu
 
Kura zitaamua mkuu usiwaze
Hadi sasa upepo wa kura hauvumi upande wa Lisu tena

Mfano hata leo uchaguzi wa mwenyekiti ungerudiwa Mbowe angemshinda Lisu sana

Wamegundua Lisu hana kitu laghai tu pesa hana aliwalaghai kuwa Yeye kama makamu mwenyekiti anajua Chadema ina prsa nyingi sana

Alipochaguliwa tu wajumbe wanadai posho anawambia Chadema hakina hela

Wakisimama na Mbowe kugombea uraisi ndani ya Chadema Lisu anaenda kubwagwa vibaya mno
 
Angalia post zake zingne anawanyali balaa chadema..
Yaani sijui huyu jamaa uhalisia wake uko Vipi? Diamond akifanya show Marekani anamsifia Alikiba akifanya show Morogoro anampenda 🤣🤣🤣

Sijui kama ni Mwanaume kamili? Maana ukiwa Mwanaume kamili lazima uwe na msimamo thabiti.
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Labda agombee ubunge!
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
No thank you. He is not a man of the hours!!! This is Lissu's seasons.
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Ni mchagga mwenzio sio?
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Umekaaa na bibi yako huko mkakubaliana hili
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Hatuwezi kuchagua mhuni anayetaka kusalia madarakani ,tumeyaona kwenye chama aliyoyafanya kwanza hatoshi kuwa raisi wa jmt
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Nonsense stuff.
 
View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.

Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.

Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.

Haya ni maamuzi ya wana Chadema.

Tukutane kwenye box la kura.
Sawa mkuu
 
Uenyekiti Chadema mmemtoa Kwa mbinde ndio tumpe Uamiri Jeshi mkuu? 🐼

Soma history dogo Mchagga ukimpa Uongozi kumuondoa ni hadi Serikali iingilie Kati kama Kwa James Mbatia

Lyatonga 😄
Umpe wewe kama nani?

Msipende kua mnajipa umuhimu ambao hamna

Jiongelee mwenyewe acha kujumuisha watu
Punguza chuki kidogo

Wote ni Watanzania,yeyote na kabila lolote linaweza ongoza nchi
 
Hatuwezi kuchagua mhuni anayetaka kusalia madarakani ,tumeyaona kwenye chama aliyoyafanya kwanza hatoshi kuwa raisi wa jmt
Sanduku la kura litaamua, mna wasiwasi wa nini?
 
Back
Top Bottom