Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Tumia ile I'd yako iliyozoeleka ya uçhawa kwa mwenyekiti.View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Wewe sio mwanachadema ..tupishe hebuView attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Angalia post zake zingne anawanyali balaa chadema..Yaani we jamaa kwa namna fulani una kimuhemuhe sana. Hivi huwa unajitafakari kabla ya kufanya jambo
Hadi sasa upepo wa kura hauvumi upande wa Lisu tenaKura zitaamua mkuu usiwaze
Yaani sijui huyu jamaa uhalisia wake uko Vipi? Diamond akifanya show Marekani anamsifia Alikiba akifanya show Morogoro anampenda 🤣🤣🤣Angalia post zake zingne anawanyali balaa chadema..
Labda agombee ubunge!View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
No thank you. He is not a man of the hours!!! This is Lissu's seasons.View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Ni mchagga mwenzio sio?View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Umekaaa na bibi yako huko mkakubaliana hiliView attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Hatuwezi kuchagua mhuni anayetaka kusalia madarakani ,tumeyaona kwenye chama aliyoyafanya kwanza hatoshi kuwa raisi wa jmtView attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Nonsense stuff.View attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Sawa mkuuView attachment 3221904
Watanzania wote tunaamimi wewe ni mtu sahihi kupeperusha bendera ya Chadema kama mgombea urais 2025.
Wakati ni sasa tangaza nia mapema na sisi tunaotakia mema taifa hili tutakuunga mkono.
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kiuongozi na namna unavyoiishi demokrasia kwa vitendo.
Chadema inaenda na Freeman Mbowe 2025.
Haya ni maamuzi ya wana Chadema.
Tukutane kwenye box la kura.
Umpe wewe kama nani?Uenyekiti Chadema mmemtoa Kwa mbinde ndio tumpe Uamiri Jeshi mkuu? 🐼
Soma history dogo Mchagga ukimpa Uongozi kumuondoa ni hadi Serikali iingilie Kati kama Kwa James Mbatia
Lyatonga 😄
Sanduku la kura litaamua, mna wasiwasi wa nini?Hatuwezi kuchagua mhuni anayetaka kusalia madarakani ,tumeyaona kwenye chama aliyoyafanya kwanza hatoshi kuwa raisi wa jmt
Hapana, nilikaa na mama yako.Umekaaa na bibi yako huko mkakubaliana hili
Mimi ni mkenya kama Heche.Ni mchagga mwenzio sio?
Acha ukabila!Mchagga? 🐼😂
Kitu umekosa ni akili na marindaTumia ile I'd yako iliyozoeleka ya uçhawa kwa mwenyekiti.