Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania (CHADEMA), Freeman Mbowe amewataka watu chama hicho walinde kura na kuhakikisha hakuna kura inapotea wa inaibiwa katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27.
Karudi kwenye levo zake za parochial politics(kwa chadema ambao elimu yao ni kidumu na mfagio, maana yake ni siasa za ngazi ya parokia) mama SSH kabaki katika siasa za kitaifa
Karudi kwenye levo zake za parochial politics(kwa chadema ambao elimu yao ni kidumu na mfagio, maana yake ni siasa za ngazi ya parokia) mama SSH kabaki katika siasa za kitaifa
Karudi kwenye levo zake za parochial politics(kwa chadema ambao elimu yao ni kidumu na mfagio, maana yake ni siasa za ngazi ya parokia) mama SSH kabaki katika siasa za kitaifa
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania (CHADEMA), Freeman Mbowe amewataka watu chama hicho walinde kura na kuhakikisha hakuna kura inapotea wa inaibiwa katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27.