Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umesikia wapi ?????Tofauti ya CCM na Chadema ni ndogo sana, wanafanana katika mengi, bora tubaki na zimwi tulijualo, halituli tukakwisha.
View attachment 3051518
Mzee mbowe ndio atagombea Urais kwa kuwa hataka awe Rais wa JMT na anajua hilo ameona asipoteze kote,ubunge anamwachie mwanae.Wewe umesikia wapi ?????
Hivi Mbowe aliwakosea nini ccm , nataka majibu , Wenda uyu mzee kila siku kichwa kinamuuma aisee , daily Mbowe, Msigwa agenda yake ni Mbowe ,Tofauti ya CCM na Chadema ni ndogo sana, wanafanana katika mengi, bora tubaki na zimwi tulijualo, halituli tukakwisha.
View attachment 3051518
Angalau Ridhiwani ana kipaji cha siasa na historia yake inaonyesha wazi babake alikuwa anamwandaa. Riz kaanzia chipukizi UVCCM na shule hadi chuo kasoma za serikali.Shida iko wapi Kama Ridhiwan ni mbunge wa jimbo aliloacha baba yake.
James hawezi shinda Hai. Huyu dogo hajulikani kabisa huko Hai. Hata kule kwao Machame kaanza kujipitisha juzijuzi. Huyo ni mtoto wa kishua ambaye kakaa sana Ulaya na hana ukaribu wowote na wapiga kura.Halafu wale msukule wanaamini kuwa CDM inawapambania 😭😭😭
Sasa nani amekuambia James hana kipaji,kusoma shule za serikali sio sifa ujue.Angalau Ridhiwani ana kipaji cha siasa na historia yake inaonyesha wazi babake alikuwa anamwandaa. Riz kaanzia chipukizi UVCCM na shule hadi chuo kasoma za serikali.
James atashinda uchaguzi ukifanyikia mtandaoni. Hakuna mpigakura wa Hai anayemjua. Mbowe kabla hata ya kuwa mbunge alikuwa anakubalika sana kule Machame. Freeman ni jina kubwa kwa wapiga kura toka miaka ya 90 tofauti na huyo James aliyekurupuka. Mbowe atafute mrithi mwingine.Sasa nani amekuambia James hana kipaji,kusoma shule za serikali sio sifa ujue.
Mwinyi RaisShida iko wapi Kama Ridhiwan ni mbunge wa jimbo aliloacha baba yake.
CCm huwa hawajielewi kabisaaaMwinyi Rais
Vipi kuhusu Mwinyi, Salma, Salim Turky, Godfrey Mgimwa, Fred Lowassa?Angalau Ridhiwani ana kipaji cha siasa na historia yake inaonyesha wazi babake alikuwa anamwandaa. Riz kaanzia chipukizi UVCCM na shule hadi chuo kasoma za serikali.
Kakaa sana Ulaya ya wapi hiyo ?au machame ndio ulaya yenyewe?James hawezi shinda Hai. Huyu dogo hajulikani kabisa huko Hai. Hata kule kwao Machame kaanza kujipitisha juzijuzi. Huyo ni mtoto wa kishua ambaye kakaa sana Ulaya na hana ukaribu wowote na wapiga kura.
Dada yake Tundu Lissu,Binamu yake mzee Mbowe (Lema),Shemeji yake mzee Mbowe(John Mrema),mjomba wake mzee Mbowe(Devota minja),na bila kusahau Mdee ni mjomba wake Lema (mama yake mdee ni Lema kama sikosei ndio wa kwanza toka familia ya mzee jonathan Lema.Vipi kuhusu Mwinyi, Salma, Salim Turky, Godfrey Mgimwa, Fred Lowassa?
Hadidu za rejea za hiki chama ni lazima kizunguke kwenye ukoo na ndugu wa karibu tuJames atashinda uchaguzi ukifanyikia mtandaoni. Hakuna mpigakura wa Hai anayemjua. Mbowe kabla hata ya kuwa mbunge alikuwa anakubalika sana kule Machame. Freeman ni jina kubwa kwa wapiga kura toka miaka ya 90 tofauti na huyo James aliyekurupuka. Mbowe atafute mrithi mwingine.
Angekuwa na Pesa angeharuhusu mwenyekiti atembeze bakuli kuomba kununuliwa gari?Hivi Mbowe aliwakosea nini ccm , nataka majibu , Wenda uyu mzee kila siku kichwa kinamuuma aisee , daily Mbowe, Msigwa agenda yake ni Mbowe ,
Mbowe ana shida na unaambiwa pesa aliyo mwachia mzazi wake bado anakula hizo zake hajagusa tafuteni pesa