Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwako Ndugu Freeman Mbowe.
Uwezo wa kusaidia kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji nchini unao ila hujaamua "kukasirika" vya kutosha
Ndugu Mbowe, wewe ni mwenyekiti wa chama ambao makada wake wamekuwa wakitekwa na kuumizwa, haitoshi tu kukasirishwa na kuumizwa, bali inapasws ufanye jambo na jambo lenyewe ni kuinvoke peoples power ili watanzania wakiongozwa na nyie wanachadema mnaotekwa waende mabarabarani kulaani chinjachinja hii iliyoanza kuota mizizi nchini. Mdugu Mbowe ukijifanya wise sana utaendelea kuonekana fala na muoga mbele ya hawa madhalimu.
Usiiamini kirahisirahisi kauli ya Samia juu ya uchunguzi. Najua wewe na Samia ni maswahiba japo "kikazi", lakini hili la sasa nchini limefikia hatua mbaya, Waongoze wanachadema wakatae udhalimu huu juu yao kwa kuwaongoza kuingia mabarabarani kuonyesha hasira yao. Achana na hoja muflisi eti Watanzania waoga, kama Watanzania waoga basi nyie wanachadema ambao msingi wa chama chenu ni PEOPLES POWER waonyesheni watanzania wengine kuwa nyie siyo waoga na mnasimamia falsafa ya chama chenu.
Mheshimiwa Mbowe, CCM na serikali yake wanakuona "mzee wa hekima", kwamba utatumika tu kuwa kama mlinzi wa getini kupoza hasira za wanachadema, Sasa ni muda muafaka wa kusimama kama Mwneyekiti na kumtaka kila Mwanachadema kulinda uhai wa chama. Mauaji haya yanalenga kutia hofu zaidi wananchi, yanalenga kuwagopesha makada wako. Sasa chukulia hali hii kama EXISTENTIAL THREAT KWA CHAMA CHENU. Itisha wanachama wako na wananchi kamanda wahit the roads. HII NDO NJIA PEKEE YA KUKOMESHA UDHALIMU HUU
Ndugu Mbowe, Saa 72 ni critical katika upatikananji wa Deusdedit Soka iwapo utaitumia nafasi hii awareness na hasira ya umma juu ya mauaji ya Mzee Ally. Tumia Fursa hii kukumbusha umma kuwa siyo mzee Ally peke yake aliyetekwa. Waambie serikali na wananchi kuwa hauna imani na na usalama wa Deusdedit huko Aliko. Tumia nafasi hii kumdai Deusdedit Soka na wenzie. Ukipoteza fursa hii, joto la kifo cha mzee Ally likapoa, Deus na wenzie hawataapatikana. MBOWE SEMA JAMBO, FANYA JAMBO, WEKA PRESHA
Ndugu MBOWE, Uwezo wa kuwaingiza watu kitaa kwa mujibu wa sheria unao, Sababu za kuwaingiza watu kitaa unazo. NIA YAKO SASA TUNATAKA KUIONA NA ACTION TUNATAKA KUIONA MUOKOE SOKA NA WENZIE KWA MASS ACTION BARABARANI. TUMIA FURSA HII YA MSIBA WA MZEE ALLY KUFANYA HIVYO.
Uwezo wa kusaidia kukomesha vitendo vya utekaji na mauaji nchini unao ila hujaamua "kukasirika" vya kutosha
Ndugu Mbowe, wewe ni mwenyekiti wa chama ambao makada wake wamekuwa wakitekwa na kuumizwa, haitoshi tu kukasirishwa na kuumizwa, bali inapasws ufanye jambo na jambo lenyewe ni kuinvoke peoples power ili watanzania wakiongozwa na nyie wanachadema mnaotekwa waende mabarabarani kulaani chinjachinja hii iliyoanza kuota mizizi nchini. Mdugu Mbowe ukijifanya wise sana utaendelea kuonekana fala na muoga mbele ya hawa madhalimu.
Usiiamini kirahisirahisi kauli ya Samia juu ya uchunguzi. Najua wewe na Samia ni maswahiba japo "kikazi", lakini hili la sasa nchini limefikia hatua mbaya, Waongoze wanachadema wakatae udhalimu huu juu yao kwa kuwaongoza kuingia mabarabarani kuonyesha hasira yao. Achana na hoja muflisi eti Watanzania waoga, kama Watanzania waoga basi nyie wanachadema ambao msingi wa chama chenu ni PEOPLES POWER waonyesheni watanzania wengine kuwa nyie siyo waoga na mnasimamia falsafa ya chama chenu.
Mheshimiwa Mbowe, CCM na serikali yake wanakuona "mzee wa hekima", kwamba utatumika tu kuwa kama mlinzi wa getini kupoza hasira za wanachadema, Sasa ni muda muafaka wa kusimama kama Mwneyekiti na kumtaka kila Mwanachadema kulinda uhai wa chama. Mauaji haya yanalenga kutia hofu zaidi wananchi, yanalenga kuwagopesha makada wako. Sasa chukulia hali hii kama EXISTENTIAL THREAT KWA CHAMA CHENU. Itisha wanachama wako na wananchi kamanda wahit the roads. HII NDO NJIA PEKEE YA KUKOMESHA UDHALIMU HUU
Ndugu Mbowe, Saa 72 ni critical katika upatikananji wa Deusdedit Soka iwapo utaitumia nafasi hii awareness na hasira ya umma juu ya mauaji ya Mzee Ally. Tumia Fursa hii kukumbusha umma kuwa siyo mzee Ally peke yake aliyetekwa. Waambie serikali na wananchi kuwa hauna imani na na usalama wa Deusdedit huko Aliko. Tumia nafasi hii kumdai Deusdedit Soka na wenzie. Ukipoteza fursa hii, joto la kifo cha mzee Ally likapoa, Deus na wenzie hawataapatikana. MBOWE SEMA JAMBO, FANYA JAMBO, WEKA PRESHA
Ndugu MBOWE, Uwezo wa kuwaingiza watu kitaa kwa mujibu wa sheria unao, Sababu za kuwaingiza watu kitaa unazo. NIA YAKO SASA TUNATAKA KUIONA NA ACTION TUNATAKA KUIONA MUOKOE SOKA NA WENZIE KWA MASS ACTION BARABARANI. TUMIA FURSA HII YA MSIBA WA MZEE ALLY KUFANYA HIVYO.