Freeman Mbowe ulishangilia kuondoka kwa Magufuli bila kujua kuwa ndiyo mti uliokuwa umeugemea

Freeman Mbowe ulishangilia kuondoka kwa Magufuli bila kujua kuwa ndiyo mti uliokuwa umeugemea

Kengeza Mbowe aka Mr Zero na bado hahaha anasema kwamba anaenda kutafuta hela awe tajiri zaidi hahaha hajui yupo kwenye laana ya kushiriki kumuu Dkt Magufuli, hahaha ataokota mpaka makopo, na hapo bado yaani huu ni mwanzo wa laana. Yaani in short wote walioshangilia kifo cha Dkt Magufuli wanaishi na laana!
Mbona unaandika unachekacheka kama ke
 
Magu alikuwa mshamba mshamba ivi....huwezi kuharibu mali za mwanachi kisa eti awe maskini ili aje akupigie magoti.
Nenda kapande SGR sasa mshamba mkubwa wewe
 
UKIONA RAIA ANAMPONDA HAYATI MAGUFULI. ujue anatokea kundi mojawapo hapa chini.
1. matajiri na wafanya biashara wa illegal commodities na wale wa money loundering pamoja na familia zao.
2. mafisadi na waajiriwa fake yaani wa vyeti feki.
3. wafanyakazi wale wa kujiona miungu watu hasa kwenye taasisi na idara za serikali (pumbavu zao kwanza)
4. wazungu pamoja na vibaraka wao mana alikwepa sana traps zao.
* THE REST,
Hawa hawapo kabisa kwenye makundi hapo juu na ukimsema vibaya mbele yao huna bahati.
 
Huwa mtu ukiwa mjinga huwezi kujijua bali wanaoumia au kutambua ujinga wako ni wanaokuzunguka.

Baada ya uchafuzi mkuu ukisimamiwa na Magufuli kujipa ushindi 2020 .

Viongozi wa upinzani walipewa "tip" ya kiusalama na watu baadhi wema kwenye vyombo vya dola kuwa baada ya jiwe kujipa ushindi ule bandia basi 2021 na kuendelea itakuwa kivumbi kwao.

Wa kwanza kuondoka ni Lissu , alipitia ubalozi wa Ujerumani na kutimkia Ubelgiji.

Wa pili alikuwa ni Lema alipitia Nairobi na kutimkia Canada.

Wa tatu ni Mbowe alipitia Nairobi na kutimkia Dubai.

Wakati huyo Magufuli ambaye aliwaaminisha wafuasi wake yeye ni kila kitu hadi hapo unavyodanganya Mbowe aliegemea kwake , wakati Corona imeshika kasi inafyeka viongozi kama kina Seif Shariff Hamad , John Kijazi kabla ya kumfyeka hata Magufuli mwenyewe hao viongozi tajwa hapo walikuwa uhamishoni kujinusuru maisha yao.

Hao wote walirudi baada ya Magufuli kufariki.

Dawa ya mjinga ni kumuelimisha usimuache na ujinga wake.


View: https://x.com/freemanmbowetz/status/1362021399980875781?s=19
 
Kuna msemo wa wahenga wa Zamani kuwa kuna kundi la nyani lilishangilia baada ya kusikia mkulima wa mahindi amekufa wakaambiana sasa watakula mahindi kwa uhuru bila kurushiwa mawe. Hawakujua kuwa aliyefariki ndiyo alikuwa anasababisha mahindi yawepo, baada ya muda nyani nao walikufa njaa vibaya sana kwa kukosa chakula.

Stori hii ya wahenga inafanana na kitendo cha Mbowe kushangilia kufariki kwa Magufuli, asijue kuwa ndiye aliyekuwa analinda uenyekiti wake wa Chadema.

Kila mtu anajua kama Magufuli angekuwa rais wa Tanzania isingewezekana Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema.

Freeman Mbowe ulishangilia wakati wengine wakilia ,leo ni zamu yako kulia huku wengine wakicheka na kushangilia.
Freeman Mbowe ni faida ipi uliyoipata kwa kushangilia kifo cha Magufuli?
Mbowe hajachia uenyekiti CHADEMA kwa kushindwa kura; amaechia kwa makusudi. Alikuwa na uwezoo wa kubadilisha matokeo na TL asingeweza kujua
TL na Mbowe wanajuana; wala hawana mgogoro wowote. Wanasiasa hao
 
Huwa mtu ukiwa mjinga huwezi kujijua bali wanaoumia au kutambua ujinga wako ni wanaokuzunguka.

Baada ya uchafuzi mkuu ukisimamiwa na Magufuli kujipa ushindi 2020 .

Viongozi wa upinzani walipewa "tip" ya kiusalama na watu baadhi wema kwenye vyombo vya dola kuwa baada ya jiwe kujipa ushindi ule bandia basi 2021 na kuendelea itakuwa kivumbi kwao.

Wa kwanza kuondoka ni Lissu , alipitia ubalozi wa Ujerumani na kutimkia Ubelgiji.

Wa pili alikuwa ni Lema alipitia Nairobi na kutimkia Canada.

Wa tatu ni Mbowe alipitia Nairobi na kutimkia Dubai.

Wakati huyo Magufuli ambaye aliwaaminisha wafuasi wake yeye ni kila kitu hadi hapo unavyodanganya Mbowe aliegemea kwake , wakati Corona imeshika kasi inafyeka viongozi kama kina Seif Shariff Hamad , John Kijazi kabla ya kumfyeka hata Magufuli mwenyewe hao viongozi tajwa hapo walikuwa uhamishoni kujinusuru maisha yao.

Hao wote walirudi baada ya Magufuli kufariki.

Dawa ya mjinga ni kumuelimisha usimuache na ujinga wake.


View: https://x.com/freemanmbowetz/status/1362021399980875781?s=19

Kwa maelezo haya wewe ni mjinga na mpumbavu wa mwisho, hao waliokimbia walifanya kampeni miezi 3 wakizunguka kila sehemu, alishindwa nini kuwauwa?
 
Mbowe hajachia uenyekiti CHADEMA kwa kushindwa kura; amaechia kwa makusudi. Alikuwa na uwezoo wa kubadilisha matokeo na TL asingeweza kujua
TL na Mbowe wanajuana; wala hawana mgogoro wowote. Wanasiasa hao
Ndiyo nyumbu mlichoaminishwa?
 
Kwa maelezo haya wewe ni mjinga na mpumbavu wa mwisho, hao waliokimbia walifanya kampeni miezi 3 wakizunguka kila sehemu, alishindwa nini kuwauwa?
Seek help at the nearest mental asylum.
 
Kuna msemo wa wahenga wa Zamani kuwa kuna kundi la nyani lilishangilia baada ya kusikia mkulima wa mahindi amekufa wakaambiana sasa watakula mahindi kwa uhuru bila kurushiwa mawe. Hawakujua kuwa aliyefariki ndiyo alikuwa anasababisha mahindi yawepo, baada ya muda nyani nao walikufa njaa vibaya sana kwa kukosa chakula.

Stori hii ya wahenga inafanana na kitendo cha Mbowe kushangilia kufariki kwa Magufuli, asijue kuwa ndiye aliyekuwa analinda uenyekiti wake wa Chadema.

Kila mtu anajua kama Magufuli angekuwa rais wa Tanzania isingewezekana Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema.

Freeman Mbowe ulishangilia wakati wengine wakilia ,leo ni zamu yako kulia huku wengine wakicheka na kushangilia.
Freeman Mbowe ni faida ipi uliyoipata kwa kushangilia kifo cha Magufuli?
Kuna watu huwa mnafikiria kwa kutumia viungo gani vya mwili?.
 
Back
Top Bottom