Freeman Mbowe: Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho

Freeman Mbowe: Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho

Kwa sababu 4Rs za Mama Samia zipo hai na Mh Rais Samia Suluhu Hassan ndiye mfariji Mkuu atachukua hatua za haraka ili Watanzania wawe na amani maana kwa sasa ni hofu tupu kila mahali Nchini Tanzania.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, anatarajiwa kutoa tamko la chama hicho juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania. Viongozi na Wafuasi wa chama hicho wanajadili kwa kina mstakabali wa CHADEMA, kwa kuzingatia hali ya kisiasa na changamoto wanazokabiliana nazo.

Updates..........
Tundu Lissu

Lissu amesema kwa sasa ni wakati muafaka kwa viongozi, wanachama na wananchi wote kwa ujumla wake kufanya maamuzi magumu kwa kuwa huko mbele mambo yatakuwa mabaya zaidi huko mbele endapo hatua stahiki hazitachukuliwa

Matukio hayo ni pamoja na matukio ya utekaji, mauwaji nk

Freeman Mbowe

Ameyataja maazimio ya


Kwa Muujibu wa katiba ya chama chetu ndiyo inamajukumu ya mwisho ya kiutendaji kwa ngazi ya matukio ya Kitaifa.

Kwa misingi hiyo basi imeamulika kamati kuu ya chama chetu iitwe ikae kwenye kikao maalumu tarehe 16 na 17 septembar ambao ni jumatatu na jumanne ya wiki ijayo. Kujadili na mambo mingine muhimu kujadili swala la utekaji, mauwaji, kupotea kwa viongozi wetu na gilimba mbalimbali ambazo tumekuwa tukifanyiwa na Serikali na Chama Cha Mapinduzi.

Ili yale yote hatimaye tunayohamua katika mkutano huu yakapate huhalali wa kikatiba, kikanuni na kiutendaji.


View: https://www.youtube.com/watch?v=5zHswMJROiI

Samia Must Go
 
Inapendeza kuisoma hiyo ultimatum waliyoipa serikali, watekaji lazima wasukumwe kwenye kona ngumu wachague kuwatoa walipowaficha mareka, au maandamano nchi nzima yasiyo na kikomo.

Ukiogopa kuandamana, kaa usubiri kutekwa, uteswe, kisha wakakutupe watapopenda wenyewe.

Kama wameshawaua wataonesha makaburi yao yalipo.
 
Back
Top Bottom