Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, anatarajiwa kutoa tamko la chama hicho juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania. Viongozi na Wafuasi wa chama hicho wanajadili kwa kina mstakabali wa CHADEMA, kwa kuzingatia hali ya kisiasa na changamoto wanazokabiliana nazo.
Updates..........
Tundu Lissu
Lissu amesema kwa sasa ni wakati muafaka kwa viongozi, wanachama na wananchi wote kwa ujumla wake kufanya maamuzi magumu kwa kuwa huko mbele mambo yatakuwa mabaya zaidi huko mbele endapo hatua stahiki hazitachukuliwa
Matukio hayo ni pamoja na matukio ya utekaji, mauwaji nk
Freeman Mbowe
Ameyataja maazimio ya
Kwa Muujibu wa katiba ya chama chetu ndiyo inamajukumu ya mwisho ya kiutendaji kwa ngazi ya matukio ya Kitaifa.
Kwa misingi hiyo basi imeamulika kamati kuu ya chama chetu iitwe ikae kwenye kikao maalumu tarehe 16 na 17 septembar ambao ni jumatatu na jumanne ya wiki ijayo. Kujadili na mambo mingine muhimu kujadili swala la utekaji, mauwaji, kupotea kwa viongozi wetu na gilimba mbalimbali ambazo tumekuwa tukifanyiwa na Serikali na Chama Cha Mapinduzi.
Ili yale yote hatimaye tunayohamua katika mkutano huu yakapate huhalali wa kikatiba, kikanuni na kiutendaji.
View: https://www.youtube.com/watch?v=5zHswMJROiI
YesSamia Must Go
Kwanini CCM hawatekwi?Sawa Sawa.
Kazi na ianze. WaTanzania tumechezewa sana na vikorogosi hawa wa CCM.
Sasahivi ni vitendo tuHayo matamko mzee wetu watekaji wameshayazoea😀
Hapana lazima aende kwa akili umoja wa mataifa utashindwa kuwasaidiaYaani kama mimi sina imani kabisa na Mbowe kwenye haya mapambano. Ni mtu anayejaribu kutaka asifiwe na wapinzani, na wakati huohuo na serekali eti anafanyanya siasa za kistaarabu. Cdm wajue Mbowe anawapoteza.
Wengi wao ni "mateka" kama tulivyo sisi waTanzania wengine wote.Kwanini CCM hawatekwi?
Lini mwanaccm ametekwa?Wengi wao ni "mateka" kama tulivyo sisi waTanzania wengine wote.
Hii ni njia bora snWanaingia porini ?
Elewa maana ya "mateka" halisi. Sisi sote Tanzania ni mateka tu wa hiki kikundi kinacho jitambulisha kuwa kinaiongoza CCM. Hata hao wananchi wenzetu wengi wanao jitambulisha kuwa wanachama au wapenzi wa chama hicho ni mateka tu kama tulivyo sisi sote.Lini mwanaccm ametekwa?
Hatari snElewa maana ya "mateka" halisi. Sisi sote Tanzania ni mateka tu wa hiki kikundi kinacho jitambulisha kuwa kinaiongoza CCM. Hata hao wananchi wenzetu wengi wanao jitambulisha kuwa wanachama au wapenzi wa chama hicho ni mateka tu kama tulivyo sisi sote.
MnafiqMbowe anaogopa nini kukiwasha?
UWT sahivi albadir inawatafuna haswaMnafiq
Punguza munkari. Hii siyo kazi ya kufanya kwa pupa. Inahitaji akili kubwa.Mbowe anaogopa nini kukiwasha?
SawaPunguza munkari. Hii siyo kazi ya kufanya kwa pupa. Inahitaji akili kubwa.