Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
Ni miezi sasa inakatika mwenyekiti wa Chadema yuko kimya bila kutoa neno wakati
1. Wagombea wa Chadema wanakatwa nchi nzima
2. Rushwa na pesa chafu zimetapakaa kwenye chaguzi za Chadema
3. Kuna ugomvi mkali kati ya Tundu Lisu na Benson Kigaila
4. Kuna ugomvi mkali kati ya Benson Kigaila na Godbless Lema
5. John Mnyika amekisusa chama
1. Wagombea wa Chadema wanakatwa nchi nzima
2. Rushwa na pesa chafu zimetapakaa kwenye chaguzi za Chadema
3. Kuna ugomvi mkali kati ya Tundu Lisu na Benson Kigaila
4. Kuna ugomvi mkali kati ya Benson Kigaila na Godbless Lema
5. John Mnyika amekisusa chama