Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli? Zisiwe ngao za kusadikika
Mwambie tu aachane na habari hizo manake sometimes shortcut zinakuwa ndefu kuliko longcut.Mwambie achape kazi na aanzie chini asiogope kuuza miwa barabarani au matikiti.
Yani ameniacha na maswali mengi huyu, hasa alivoandika eti yupo tayari kwa chochote watakachotaka....
Nipo sehemu kijijini nimefungua kijiwe cha internet ,kuna kijana (anaonekana hayupo vizuri kimaisha) wiki iliopita alikuja kuniulizia mambo ya Freemasons kwenye internet nikamwambia anaweza akagoogle kupata taarifa zao .... sasa leo karudi amepata hela ya internet ,akanikabidhi hela na barua ndefu kawaandikia Freemasons anataka kujiunga wamsaidie maisha ni magumu na yupo tayari kwa chochote watakachotaka....hivi kama mtu yupo tayari kufanya chochote ili usaidiwe kuna usalama kweli!!!!
Nimeshindwa hata nimwambie nini huyu kijana.......!!!!!!!!!!!
Mwambie hakuna nji aya haraka ya mafanikio isipokuwa kupiga kazi yoyote halali na asiogope kukumbana na vikwazo ila asikate tamaa
Hizo mambo za harakaharaka mwishowe atamtoa mama yake kafara
kah! hata kuliwa TIGO pia yuko tayari?
Hakika hajui anchokitaka/anachoongea, freemanson is real ila ni demonic services ambazo wanatoa kafara ya ndugu wa karibu kama sadaka....Yani ameniacha na maswali mengi huyu, hasa alivoandika eti yupo tayari kwa chochote watakachotaka....
Nipo sehemu kijijini nimefungua kijiwe cha internet ,kuna kijana (anaonekana hayupo vizuri kimaisha) wiki iliopita alikuja kuniulizia mambo ya Freemasons kwenye internet nikamwambia anaweza akagoogle kupata taarifa zao .... sasa leo karudi amepata hela ya internet ,akanikabidhi hela na barua ndefu kawaandikia Freemasons anataka kujiunga wamsaidie maisha ni magumu na yupo tayari kwa chochote watakachotaka....hivi kama mtu yupo tayari kufanya chochote ili usaidiwe kuna usalama kweli!!!!
Nimeshindwa hata nimwambie nini huyu kijana.......!!!!!!!!!!!
Evelyn Salt na akishapata huo utajiri na anajua kabisa kuwa alimtoa mama yake kafara atakuwa na raha gani au ndo majuto ya mileleAlivo na machungu, kumtoa kafara maza ake sio ishu kwake asee...!!!!!!!!!
Dah kaka saudari umetoa bonge la advise kwa kijana.. ila nikicheki hii avatar yako nacheka sana maana navuta picha mzee snopy anavyokamua jani ! dahMwambie afanye kazi kwa bidii kwani mafanikio hayaji kirahisi kama anavyozani,
Hebu amshirikishe MUNGU katika mambo yake aangalie kama hatofanikiwa.
Hata walioko kwenye freemason wanafanya kazi kwa bidii,
hebu mwangalie Jay Z na Kanye wanavyojishughulisha huku na kule katika masuala yakutafuta chapaa.
Maisha yana vikwazo vingi ila Mungu pekee ndio kimbilio la walio wengi.
Huyo kachanganyikiwa tu, mrudishie hela zake kakae nae jioni mahali.....mueleze afuge hata nguruwe asijali sana dini yake..si alikuwa tayari hata kumtumikia hata shetani!!
Kwa hela hiyo anunue kitimoto jike namba 14 mwenye uwezo wa kuzaa watoto hadi 14 kwa mpigo..awe mdogo wa miezi 2 huuzwa kuanzia 50 au 60 elfu hivi, then amtunze kwa bidii zake zote!! akifikisha miezi 4 jumla ampandishe kwa kukodi dume lolote bora...
...baada ya miezi michache tu ataniambia matendo makuu mungu atakayo mtendea!!