Freemansons..............!!!!! !!!!!!!

Mwambie akanunue jembe kisha aanze kilimo, akishindwa mwambie ani pm nimpe kazi ya kuhudumia tumbaku shamban kwangu ili apate mtaji wa kuanzia maisha
 
Mwambie akanunue jembe kisha aanze kilimo, akishindwa mwambie ani pm nimpe kazi ya kuhudumia tumbaku shamban kwangu ili apate mtaji wa kuanzia maisha

Dah! angepata hata hiyo kazi yako ingekuwa poa sana.....!!!!
akirudi nitaongea nae!!!!
 
There is no regular Grand Lodge of Tanzania. The only regular Masonic Lodges in Tanzania are under the jurisdiction of the District Grand Lodge of East Africa, which is based out of Kenya. These Lodges are part of the United Grand Lodge of England. If you live in Tanzania and are serious about becoming a Freemason, you need to do it through that District Grand Lodge. If you find any organization claiming to be under the jurisdiction of "Grand Lodge of Tanzania" or ANYTHING other than the District Grand Lodge I mentioned, you should assume that it is a "clandestine Lodge" and NOT part of regular, mainstream Freemasonry. Joining a clandestine Lodge means you would not be able to visit any regular Lodges anywhere in the world.

Contact information for the District Grand Lodge of East Africa:
FREEMASONS' HALL NAIROBI
Nyerere Road, Opposite Serena Hotel
P.O. Box 41148, NAIROBI KENYA
00100 GPO
[h=3][/h]
 
Akifanikiwa kujiunga na kupata pesa nyingi lazima akuondoe roho yako kwani utakuwa umeshajua siri yake. Mshauri aache hizo mambo huyo chalii
 

Duh! thanks for the information....!!!
But i won't give it to the guy.
 
Akifanikiwa kujiunga na kupata pesa nyingi lazima akuondoe roho yako kwani utakuwa umeshajua siri yake. Mshauri aache hizo mambo huyo chalii

mmh yani aniondoe mie tena?
 
Angekuwa anataka ushauri au anahitaji kujua Freemason ni nini au ni nani ningemshauri
'
Kwakuwa ni wewe hujajua cha kumfanya,wacha nikuambie;
'
Mpe ruhusa ya ku-google,najua hatapata habari anazozitaka.
'
Akichemka ndo muweke chini umshauri kama wengi wanavyokutaka ufanye!
 
Hakika hajui anchokitaka/anachoongea, freemanson is real ila ni demonic services ambazo wanatoa kafara ya ndugu wa karibu kama sadaka....
Wewe ni mnafiki mwingine!!umejuaje?na wewe ni member?huu uzushi wa vijiweni muwe munahadithiana hukohuko,msilete uongo usio na ushahidi huku.
 
Maskini,maisha bora kwa kila mtanzania hayo yanasababisha vijana kupotoka duuuuh!amuombe shetani atamuonyesha njia ya kuingia huko!
 
Wewe ni mnafiki mwingine!!umejuaje?na wewe ni member?huu uzushi wa vijiweni muwe munahadithiana hukohuko,msilete uongo usio na ushahidi huku.

Kaka sio ugomvi,nilikuwa natoa ninayoyajua kuhusu hii secret society,hataivyo kwa mtu uanyechunguza mambo utapata ukweli hata kama sio member. Kama nimegusa interest zako samahani,ila mwambie kijana ajiunge halafu akusimulie akishaonja joto ya jiwe ndo utaamini. Kwa harakaharaka nadhani wewe ni wale watu ambao mkisikia mlio wa risasi unakimbilia kwenye tukio badala ya kwenda mbali ili uweza kutathmini ukiwa utulivu
 
Mmmh anasikitisha!yan mwambie wala asijaribu kuwachokonoa kuna msichana wa chuo jiran yetu aliwabip hao watu online yan amekufarika hivihiv baada ya ktkt mazingira ya kuatatanisha baada ya kua frustrated
 

Hapana mzee!!yeyote anayejifanya anajua SIRI za taasisi hiyo probably atakuwa mwongo mkubwa!!wewe for instance unaweza kutupa source ya hiyo introduction?au na wewe ulisikia tu toka kwa mtu mwingine kama wewe?je unataka niamini kuwa Mungu wangu hana uwezo wa kunipa utajiri?masons never say,who's that one who gave you those vomited speculations? Hivi wewe kila mlio huwa ni risasi?what a myopic theory are you entertaining?
 
Mmmh anasikitisha!yan mwambie wala asijaribu kuwachokonoa kuna msichana wa chuo jiran yetu aliwabip hao watu online yan amekufarika hivihiv baada ya ktkt mazingira ya kuatatanisha baada ya kua frustrated

Naomba nitafutie namba yao na mimi niwa beep nife,nyie watu bwana kwa porojo!!?,.
 

Akija nitafanya kama ulivosema....

Wewe ni mnafiki mwingine!!umejuaje?na wewe ni member?huu uzushi wa vijiweni muwe munahadithiana hukohuko,msilete uongo usio na ushahidi huku.

Mbona umekuwa mkali teh! unanipa makwesheni....
 
Maskini,maisha bora kwa kila mtanzania hayo yanasababisha vijana kupotoka duuuuh!amuombe shetani atamuonyesha njia ya kuingia huko!

Teh ngoja akamuombe arudi tena kujaribu bahati yake...

Nani kamdanganya kuwa freemason wanaingia wachovu?

Yani sijui umejuaje, kajichokea mwenyewe kapiga zake yeboyebo anatia huruma.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…