Freemason (by kanumba) vs sembe (by ngwea)

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
1,714
Reaction score
448
Hawa mastaa wawili kila mmoja alivyoondoka duniani ametuacha na 'Song' linalobamba vichwa vya watanzania wengi;-

Kanumba alituacha na mijadala ya Freemason ambayo kila kona ya Tz ilikuwa imekamata akili za watu wa rika mbalimbali

Ngwea katuacha na mijadala/matukio ya Madawa ya Kulevya 'Sembe' ambayo hadi sahivi inakamata vichwa vya habari vya magazeti,kuzungumziwa kwenye medias na socio networks


# Ni song lipi kati ya hizo lilibamba/linabamba zaidi tz??
 
# Ni song lipi kati ya hizo lilibamba/linabamba zaidi tz??
Nadhani jamii inajibu kufuatana na single gani inabamba mtaani, hivyo nadhani diagnosis ya jamii inategemea sana jamii wakati huo inakuwa based kwenye issue gani ambayo ndio talk of the day. Wakati Kanumba nakufa watu walikuwa wametishwa sana na wanaongelea issues za Free masons na wakamuunganisha Kanumba na suala hilo kutokana na kuwa alikuwa na pesa, alikuwa na uwezo wa kusafiri nchi nyingi (tofauti na kipato cha kazi yake ya usanii) na wakati Mnagwea anafariki issue iliyokuwa inaongelewa ilikuwa ni issue ya Madawa ya kulevya, na Mangwea naye aliunganishwa na tatizo hilo kwa sababu naye alikuwa na pesa fulani, anasafiri, na utata wa kifo chake. Lakini kuna Jambo moja linafanana kwa wote, wote wamekufa Ghafla vifo vvyenye utata. Kwa leo mimi ningesema hawa wana the same cause of Death, na Inawezekana inauhusianao na kutaka kutengeneza pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…