Freemason wa enzi za Kikwete walienda wapi?

Freemason wa enzi za Kikwete walienda wapi?

kamituga

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2019
Posts
1,195
Reaction score
1,933
Salaam kwenu wakuu,

Kama mada ilivyo naomba kuuliza wale jamaa waliokua wanamiliki mikwanja na ndinga kali town mpaka wananzego wakaaminishwa mafanikio mpaka uwe freemason wako wapi wakati huu?

Mbona uvumi wa hiyo jamii ya siri umepoa kwanini? Nao vyuma vimekaza?

Au ndio walukua wazee wa makontena bandarini halafu wanazuga ni mafreemason.

Wako wapi? Pesa wamepeleka wapi?

Pia soma: Illuminati and Freemasons
 
Salaam kwenu wakuu,

Kama mada ilivyo naomba kuuliza wale jamaa waliokua wanamiliki mikwanja na ndinga kali town mpaka wananzego wakaaminishwa mafanikio mpaka uwe freemason wako wapi wakati huu?

Mbona uvumi wa hiyo jamii ya siri umepoa kwanini? Nao vyuma vimekaza?

Au ndio walukua wazee wa makontena bandarini halafu wanazuga ni mafreemason.

Wako wapi? Pesa wamepeleka wapi?

Pia soma: Illuminati and Freemasons
Hawapendi shida kama tunavyopenda sisi watoto wa wakulima
 
Mie iko siku nilikuwa nimepiga Pamba zangu nakunywa kahawa wakanizushia ati Free mason
Niliwashangaa sana wale wazee
 
Back
Top Bottom