Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Bro Kudo
upo sawa sana
ila napenda kutoa wazo Dogo tu
Kukutana Quraan ndani ya majumba ya wamason,Haina maana wao wanaikubali hii Quraan,
ni kama alivyosema Bro Kudo,kwamba katika moja ya mbinu zao,ni kukusanya wana Dini zote,na kuwa na kauli mbiu ya umoja wa kweli,huku wakiwa na agenda ya siri nyuma ya pazia
Uislam,upo mbali sana na haya mambo
Uislam,unapiga vita Ushirikina na aina zake
Uislam,unapiga vita sana umwagaji wa damu wa kiholela
Sent using Jamii Forums mobile app
upo sawa sana
ila napenda kutoa wazo Dogo tu
Kukutana Quraan ndani ya majumba ya wamason,Haina maana wao wanaikubali hii Quraan,
ni kama alivyosema Bro Kudo,kwamba katika moja ya mbinu zao,ni kukusanya wana Dini zote,na kuwa na kauli mbiu ya umoja wa kweli,huku wakiwa na agenda ya siri nyuma ya pazia
Uislam,upo mbali sana na haya mambo
Uislam,unapiga vita Ushirikina na aina zake
Uislam,unapiga vita sana umwagaji wa damu wa kiholela
Sent using Jamii Forums mobile app